Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Mkurugenzi wa Green Acres Bw. Bujugo ameumbuka baada ya kutoa habari zisizo za kweli juu ya matokeo ya shule yake, akishutumu NECTA kwa kile alichokiita uzembe mkubwa.
Baadhi ya tuhuma za Bw. Julian Bujugo zilinukuliwa gazeti la Tanzania Daima
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts'.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha amewekewa ‘absent' na mwanafunzi mwingine, Mbazi Volta, hakufanya mitihani lakini amepewa alama za ufaulu.
Hata hivyo, habari zilizopatikana leo hii zinaeleza kuwa uongozi wa shule hiyo uliitwa Baraza la Mitihani ili kuthibitisha madai hayo na ukashindwa kuzithibitisha.
Wanasheria wa Baraza la Mitihani wako mbioni kumchukulia hatua Bw. Julian Bujugo kwa upotoshaji huo.
Baadhi ya tuhuma za Bw. Julian Bujugo zilinukuliwa gazeti la Tanzania Daima
Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.
"Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24," alisema Bujugo.
"Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24," alisema Bujugo.
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts'.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha amewekewa ‘absent' na mwanafunzi mwingine, Mbazi Volta, hakufanya mitihani lakini amepewa alama za ufaulu.
Wanasheria wa Baraza la Mitihani wako mbioni kumchukulia hatua Bw. Julian Bujugo kwa upotoshaji huo.