CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuunga mkono.ni haki yake ya kikatiba na nawaunga mkono wote watakaotaka kugombea Hilo Jimbo toka vyama vyote Ni haki yao kikatibaView attachment 1442439HABARI Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano Kwa Umma CUF Eng. Mohamed Ngulangwa ametangaza nia ya kugombea Ubunge Jimbo la Mkuranga.
Mohamed lazima cuf wampe nafasihongera yake sana muheshimiwa eng.mo kwa uamuzi wake makini katumia haki yake ipasavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
We unagombea wapi?Namuunga mkono.ni haki yake ya kikatiba na nawaunga mkono wote watakaotaka kugombea Hilo Jimbo toka vyama vyote Ni haki yao kikatiba
Sio kitemi sasa,simpaka wamchague kwani ni yeye peke yake ndo katangaza nia kwa jimbo la mkuranga?