Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime adaiwa kubaka na kumlawiti binti wa miaka 16

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime adaiwa kubaka na kumlawiti binti wa miaka 16

Vyombo vya uchunguzi wafuatile Kama ni kweli hatua stahili zichukuliwe ni aibu kwa kiongozi kufanya vitendo vya kihuni.
 
Acha mbwembwe we dogo yaani binti wa miaka 16 aajiriwe kwenye taasisi ya umma?

Jipange upya na kashfa zenu za kiboya mnafanya kazi zakina Bia yetu ziwe ngumu nyie vilaza
 
"Taarifa za ndani zinaonesha ametongoza na amefanikiwa kutembea na watumishi wanawake wengi walio makao Makuu ya Halmashauri na wanao Mkataa hupewa adhabu ikiwa ni pamoja na barua Kali, kusikamishwa kazi au kuhamishwa na wengi wao huamuwa kujihamisha."

Hiyo quote hapo juu inaonekana umekurupuka either baada ya kugongewa demu au mke au kuna sehemu mmekwaruzana unataka kumchafua Mkurugenzi
 
Kwa sababu ya maaumivu makali Binti huyo alipiga kelele Sana ndipo mlinzi wa Guest alikuja kuokoa jahazi. Inasemekana Binti alikuwa bikra.
Upande upi sasa inaposemekana alikuwa bikra. Na ni nani anahathibitisha hiyo taarifa?
 
Duh yaani ahonge milioni milioni wote hao tena 2 au 4!!! Waandishi wote kahonga,madaktari duh!!! Ana hela nyingi hivyo anambakaje binti wa 16?!!! Hii case inatakiwa isikilizwe na upande wa pili pia,hatuwezi jaji.
Na kwa hali ilivyo binti wa miaka 16 mkusanya ushuru kuwa bado bikra inahitaji kuangalia kwa jicho la 3
 
Duh... Hivi ushakuwa na madaraka na nguvu zote na bado unashindwa kushawishi mwanamke!! Bure kabisa
 
Sasa kama ni nyuma na mbele huyo ni mtu mwenye akili timamu kweli ? Au kugagula [emoji24][emoji24] hata cheo walimpa vipi!
Au kuna hila dhidi ya mkurugenzi?
 
Kuna mengi hayaingii akilini.

Binti ni bikra.

Akabakwa mbele na nyuma.

Akapiga kelele.

Amepiga kelele alivyoanza kubakwa nyuma?

Kwa sababu haiingii akilini mtu aanze mbele aje nyuma bado tu watu wawe hawajaja kutoa msaada.

Kisha kunakuja kuhonga.

Amehonga waandishi. Sawa. Tuseme wilaya nzima hamna mwenye smart na yupo kwenye social network yoyote?

And the fact that hata jina la mtuhumiwa umeshindwa kutaja.

Gapes nyingi
 
Back
Top Bottom