Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime adaiwa kubaka na kumlawiti binti wa miaka 16

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime adaiwa kubaka na kumlawiti binti wa miaka 16

Wewe mleta uzi huu ni mtu hatari sana! Km niuhasama na huyu jamaa basi ww unaweza kumuua kabisa, unachuki mbaya sana, ulicho andika ninachoweza kuchangia nipale uliposema na arusha alibaka akapandishwa cheo kutoka Das kuja kuwa mkurugenzi tarime! Mi nachangia hivi! Apandishwe tena cheo awe katibu mkuu.
Ova.
 
Mbona kama stori imekaa kiupande upande hivi? Kweli uhonge watu wote hao?
Unforgetable

[emoji2021]Manners Maketh Man[emoji2021]
Wako wangapi ? unadhani mkoani wapo waandishi wa Habari wangapi wakiwa wengi ni wa 4 na kila mwandishi anawakilisha vyombo 3 au 5 vya habari
 
Sio kila me anajua kutongoza wengine utumia pesa na kubaka baasi
 
Kama ni kweli basi Mkurugenzi atakuwa Malaya TU,


Binti mbona Ni wa kawaida tuu,???
 
mmh nashindwa hata niandike nini,binti wa miaka 16 anaajiliwa vipi kwenye taasisi kubwa kama hiyo tena ya serikali,kwanza alihitimu form four,chuo akiwa na miaka mingapi mbona kama hii case ni kupika
 
Hili la kushawishi vyombo vya habari ni jepesi sana wanatumikaga viongozi wao lakini kwajinsi jamaa alivyoandika sijui kama yuko tayari kusaidia uyo binti nimemuomba aniPM kagoma kabisa.
Aku-PM ili ufanye nini ambacho unaweza kufanya? Na asipoku-pm kwanini ushindwe kufanya? Huu ni mjadala wa wazi na siyo private!
 


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, kambaka Binti mwenye umri wa miaka 16 ambaye alikuwa akifanya kazi ya kukusanya mapato katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime Kama kibarua.

Inasemekana siku ya tukio Mkurugenzi alimchukua binti huyo waende naye Musoma akidai Baba yake yuko Musoma anahitaji kuonana naye.

Walipofika Musoma akampeleka Guest moja (jina kapuni) akimdaganya Kwamba Baba wa huyu Binti atakuja hapo, matokeo yake akamwingilia kwa nguvu mbele na nyuma hivyo kusababisha kumpasua pasua vibaya.

Kwa sababu ya maaumivu makali Binti huyo alipiga kelele Sana ndipo mlinzi wa Guest alikuja kuokoa jahazi. Inasemekana Binti alikuwa bikra.

Siku ya ijumaa vyombo vya dola vilionekana Ofisi za Halmashauri ya Mji vikiwa busy na mafaili mbalimbali. Takukuru na TISS walishinda kwenye Ofisi hizo.

Hata hivyo inasemekana Mkurugenzi huyo amefanikiwa kuwatuliza waandishi wa habari wasiandike chochote kuhusu tukio hilo, wamepewa kiasi cha shilingi milioni mbili mbili na mpaka Sasa hakuna chombo chochote cha habari kilicho report tukio hilo pamoja na kuwa taarifa zimesambaa mji mzima.

Hii sio mara ya kwanza kwa Mkurugenzi kukatwa na case Kama hii. Akiwa DAS Wilaya moja mkoa wa Arusha alikamatwa kwa nyakati tofauti akifanya ngono Ofisini hatimaye alisimamishwa kazi, aliporejeshwa Kazini alipandishwa cheo na kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime.

Huko Tarime tukio hilo si la kwanza pia, kaishakamatwa mara nyingi ugoni, na tukio kubwa kabla ya hili la huyu Binti ni kuwa alikamatwa na mke wake usiku wa manane akiwa amehama chumbani kwake na kwenda kwa Binti wa kazi akambaka.

Kazi anayofanya kwa sasa ni kuhakikisha anafuta ushahidi kwa kugawa pesa kwa Sehemu anayofikiri inaweza kumsaidia.

Kaimu Mkurugenzi aliyepo, anafanya kazi ya kufoji taarifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kazi ya vibarua wakishilikiana na Kaimu Afisa Utumishi.

Taarifa za ndani zinaonesha ametongoza na amefanikiwa kutembea na watumishi wanawake wengi walio makao Makuu ya Halmashauri na wanao Mkataa hupewa adhabu ikiwa ni pamoja na barua Kali, kusikamishwa kazi au kuhamishwa na wengi wao huamuwa kujihamisha.

Watetezi wa Wamama, Taasisi mbalimbali mnaombwa mjitokeze kumsaidia huyu Binti aliyeharibiwa

AIBU KUBWA
 


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, kambaka Binti mwenye umri wa miaka 16 ambaye alikuwa akifanya kazi ya kukusanya mapato katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime Kama kibarua.

Inasemekana siku ya tukio Mkurugenzi alimchukua binti huyo waende naye Musoma akidai Baba yake yuko Musoma anahitaji kuonana naye.

Walipofika Musoma akampeleka Guest moja (jina kapuni) akimdaganya Kwamba Baba wa huyu Binti atakuja hapo, matokeo yake akamwingilia kwa nguvu mbele na nyuma hivyo kusababisha kumpasua pasua vibaya.

Kwa sababu ya maaumivu makali Binti huyo alipiga kelele Sana ndipo mlinzi wa Guest alikuja kuokoa jahazi. Inasemekana Binti alikuwa bikra.

Siku ya ijumaa vyombo vya dola vilionekana Ofisi za Halmashauri ya Mji vikiwa busy na mafaili mbalimbali. Takukuru na TISS walishinda kwenye Ofisi hizo.

Hata hivyo inasemekana Mkurugenzi huyo amefanikiwa kuwatuliza waandishi wa habari wasiandike chochote kuhusu tukio hilo, wamepewa kiasi cha shilingi milioni mbili mbili na mpaka Sasa hakuna chombo chochote cha habari kilicho report tukio hilo pamoja na kuwa taarifa zimesambaa mji mzima.

Hii sio mara ya kwanza kwa Mkurugenzi kukatwa na case Kama hii. Akiwa DAS Wilaya moja mkoa wa Arusha alikamatwa kwa nyakati tofauti akifanya ngono Ofisini hatimaye alisimamishwa kazi, aliporejeshwa Kazini alipandishwa cheo na kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime.

Huko Tarime tukio hilo si la kwanza pia, kaishakamatwa mara nyingi ugoni, na tukio kubwa kabla ya hili la huyu Binti ni kuwa alikamatwa na mke wake usiku wa manane akiwa amehama chumbani kwake na kwenda kwa Binti wa kazi akambaka.

Kazi anayofanya kwa sasa ni kuhakikisha anafuta ushahidi kwa kugawa pesa kwa Sehemu anayofikiri inaweza kumsaidia.

Kaimu Mkurugenzi aliyepo, anafanya kazi ya kufoji taarifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kazi ya vibarua wakishilikiana na Kaimu Afisa Utumishi.

Taarifa za ndani zinaonesha ametongoza na amefanikiwa kutembea na watumishi wanawake wengi walio makao Makuu ya Halmashauri na wanao Mkataa hupewa adhabu ikiwa ni pamoja na barua Kali, kusikamishwa kazi au kuhamishwa na wengi wao huamuwa kujihamisha.

Watetezi wa Wamama, Taasisi mbalimbali mnaombwa mjitokeze kumsaidia huyu Binti aliyeharibiwa
Tarime kuna nn? Mbona mna penda sana kuwaandama wateule? Mmemsimanga LUOGA hadi akatenguliwa! Sasa mmehamia kwa Mkurugenzi! Mwacheni achape Kazi! Mambo ya mapenzi ni siri na makubaliano ya watu wawili.
 


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime, kambaka Binti mwenye umri wa miaka 16 ambaye alikuwa akifanya kazi ya kukusanya mapato katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime Kama kibarua.

Inasemekana siku ya tukio Mkurugenzi alimchukua binti huyo waende naye Musoma akidai Baba yake yuko Musoma anahitaji kuonana naye.

Walipofika Musoma akampeleka Guest moja (jina kapuni) akimdaganya Kwamba Baba wa huyu Binti atakuja hapo, matokeo yake akamwingilia kwa nguvu mbele na nyuma hivyo kusababisha kumpasua pasua vibaya.

Kwa sababu ya maaumivu makali Binti huyo alipiga kelele Sana ndipo mlinzi wa Guest alikuja kuokoa jahazi. Inasemekana Binti alikuwa bikra.

Siku ya ijumaa vyombo vya dola vilionekana Ofisi za Halmashauri ya Mji vikiwa busy na mafaili mbalimbali. Takukuru na TISS walishinda kwenye Ofisi hizo.

Hata hivyo inasemekana Mkurugenzi huyo amefanikiwa kuwatuliza waandishi wa habari wasiandike chochote kuhusu tukio hilo, wamepewa kiasi cha shilingi milioni mbili mbili na mpaka Sasa hakuna chombo chochote cha habari kilicho report tukio hilo pamoja na kuwa taarifa zimesambaa mji mzima.

Hii sio mara ya kwanza kwa Mkurugenzi kukatwa na case Kama hii. Akiwa DAS Wilaya moja mkoa wa Arusha alikamatwa kwa nyakati tofauti akifanya ngono Ofisini hatimaye alisimamishwa kazi, aliporejeshwa Kazini alipandishwa cheo na kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime.

Huko Tarime tukio hilo si la kwanza pia, kaishakamatwa mara nyingi ugoni, na tukio kubwa kabla ya hili la huyu Binti ni kuwa alikamatwa na mke wake usiku wa manane akiwa amehama chumbani kwake na kwenda kwa Binti wa kazi akambaka.

Kazi anayofanya kwa sasa ni kuhakikisha anafuta ushahidi kwa kugawa pesa kwa Sehemu anayofikiri inaweza kumsaidia.

Kaimu Mkurugenzi aliyepo, anafanya kazi ya kufoji taarifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na mikataba ya kazi ya vibarua wakishilikiana na Kaimu Afisa Utumishi.

Taarifa za ndani zinaonesha ametongoza na amefanikiwa kutembea na watumishi wanawake wengi walio makao Makuu ya Halmashauri na wanao Mkataa hupewa adhabu ikiwa ni pamoja na barua Kali, kusikamishwa kazi au kuhamishwa na wengi wao huamuwa kujihamisha.

Watetezi wa Wamama, Taasisi mbalimbali mnaombwa mjitokeze kumsaidia huyu Binti aliyeharibiwa

Wanawake wapo wengi hivi unawezaje kubaka binti mdogo kama huyo kama kweli huyo DED achukuliwe hatua kali
 
Mkurugenzi hana mahisiano mema na watumishi kwa kiasi kikubwa na huwa anatumia vitisho vingi kwamba aliaga kwao Kigoma akaja Tarime, cha msingi tuhuma hizi si nzuri ajitahidi kujenga mahusiano mema na wale wanaomzunguka hasa idara zote, akianzia afisa elimu, na pia idara ya afya.

Kwa ujumla sio mkurugenzi mwenye maamuzi ya busara na hekima.

Hamna mtumishi anaemkubali.

Wewe vp, una ubia na huyo Mkurugenzi Mbakaji? Hapa hakuna Cha kujitahidi ati ajenge mahsiano mema na watumishi!! KINACHOTAKIWA SASA NI MAMLAKA YA UTEUZI KUMTUMBUA AU KUMFUTA KAZI HANA ADABU😎
 
Back
Top Bottom