Mkamanga junior
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 159
- 225
Amechukua maamuzi magumu,kwani tangu wateuliwe tarehe 18 Julai 2016 hakuna aliyewahi kujiuzulu nafasi yake zaidi ya rais kuwatumbua. Kwa muda mrefu halmashauri ya wilaya ya mbinga ilikuwa na migogoro ya watumishi, sasa kama ni kweli inawezekana hiyo ikawa ndio sababu
Last edited by a moderator: