Tetesi: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inasemekana amejiuzulu

Tetesi: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga inasemekana amejiuzulu

Ha ha haaaaa, vijana wa siku hizi sijui shida nini aiseee? Yaani hawawezi kuandika Kiswahili kabisa! Eti "Hameshindwa?" Nilitegemea na hapo kwenye imekaribia angeandika "Himekaribia"
Matatizo ya lugha mama, hususani wahaya wanatatizo hilo sana. Nina rafiki zangu wahaya wanitumiapo SMS lazima utakuta hiyo michapio.
 
Ni ajabu kwa sababu anakuwa wa kwanza kujiuzuru nafasi ya ukurugenzi tangu mh. Raisi awateue. Wengi anawatumbua si kujiuzuru.hivyo ni jambo la ajabu
Na kweli ni ajabu katika maajabu kujiuzuru
Pesa ni tamu kuliko utu kwa baadhi ya watu
Lakini brexit imesababisha wakubwa waachie ngazi kwa heshima na wanachokiamini

Lakini Africa ni ngumu kuachia ngazi utafikiri kuna binadamu anagawa riziki
 
Ha ha haaaaa, vijana wa siku hizi sijui shida nini aiseee? Yaani hawawezi kuandika Kiswahili kabisa! Eti "Hameshindwa?" Nilitegemea na hapo kwenye imekaribia angeandika "Himekaribia"
dogo acha kiherehere fanya kazi
 
Mi nahisi jiwe huwa anawatishia viongozi wakitaka kujiuzulu ili asionekane ameshindwa, kuna mkurugenzi alisema kwa mdomo wake kuwa mwaka jana hautaisha anaacha kazi.Lakini hadi leo yupo.Ni huko nyanda za juu kusini.
 
Ha ha haaaaa, vijana wa siku hizi sijui shida nini aiseee? Yaani hawawezi kuandika Kiswahili kabisa! Eti "Hameshindwa?" Nilitegemea na hapo kwenye imekaribia angeandika "Himekaribia"
Mkuu kiswahili kigumu sana. Ebu soma sentensi hapa chini inayoelekeza namna ya kutumia printer na ifafanue kwa lugha rahisi ya kiswahili.
Funga kitengo cha kitambazo na telezesha mwongozo wa pambizo dhidi ya karatasi kisha ingiza modi ya sanidi.
 
Kuliko kufanya kazi kwa mashinikizo ili kutunza heshima yako bora kujiuzulu. Isitoshe utumishi ni kuwa mfungwa wa mawazo katika awamu hii
 
Amechukua maamuzi magumu,kwani tangu wateuliwe tarehe 18 Julai 2016 hakuna aliyewahi kujiuzulu nafasi yake zaidi ya rais kuwatumbua. Kwa muda mrefu halmashauri ya wilaya ya mbinga ilikuwa na migogoro ya watumishi, sasa kama ni kweli inawezekana hiyo ikawa ndio sababu
Hajajiuzulu kla amejidhuru
 
Basi si muda mrefu yule kiherehere wa habari Ikulu atasema rais ametengua uteuzi.
 
Ha ha haaaaa, vijana wa siku hizi sijui shida nini aiseee? Yaani hawawezi kuandika Kiswahili kabisa! Eti "Hameshindwa?" Nilitegemea na hapo kwenye imekaribia angeandika "Himekaribia"
Uzao wa shule za kata mkuu jumlisha na Walimu wa Voda fasta ni shida mnoo
 
Inasemekana jamaa anakampuni yake ambayo amekuwa akiisimamia kabla hata ya uteuzi, inasemekana vilevile kuwa amekuwa akisiitikia uteuzi kwani anaona bora angeendelea na biashara zake, pengine hiyo ndo sababu
 
Back
Top Bottom