Mkamanga junior
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 159
- 225
Habari kamili ndiyo hiyoJipange uje na habari iliyoshiba
Umekuja na gear ya reverse.Habari kamili ndiyo hiyo
Ni ajabu kwa sababu anakuwa wa kwanza kujiuzuru nafasi ya ukurugenzi tangu mh. Raisi awateue. Wengi anawatumbua si kujiuzuru.hivyo ni jambo la ajabuKujiuzuru ni jambo la ajabu sana huko, ila kuhama ni kawaida.
Haina shida hiyo weka tuweke inaitwaAmechukua maamuzi magumu
"Kushindwa kasi" ndo utetezi mpya wa wafuasi watiifuLabda kashindwa kwenda na kasi ya bwana mkubwa
Ova
Mungu amemfunulia MaonoAmechukua maamuzi magumu,kwani tangu wateuliwe tarehe 18 Julai 2016 hakuna aliyewahi kujiudhuru nafasi yake zaidi ya mh.raisi kuwatumbua. Kwa muda mrefu halmashauri ya wilaya ya mbinga ilikuwa na migogoro ya watumishi, sasa kama ni kweli inawezekana hiyo ikawa ndio sababu
sababu kuu ya kujiuzuru nn mkuuAmechukua maamuzi magumu,kwani tangu wateuliwe tarehe 18 Julai 2016 hakuna aliyewahi kujiudhuru nafasi yake zaidi ya mh.raisi kuwatumbua. Kwa muda mrefu halmashauri ya wilaya ya mbinga ilikuwa na migogoro ya watumishi, sasa kama ni kweli inawezekana hiyo ikawa ndio sababu
Ame... siyo Hame.....Hameshindwa kuendana na matakwa ya jiwe nini? kaona weekend imekaribia ya kuteua na kutengua
Haijulikanisababu kuu ya kujiuzuru nn mkuu
Ha ha haaaaa, vijana wa siku hizi sijui shida nini aiseee? Yaani hawawezi kuandika Kiswahili kabisa! Eti "Hameshindwa?" Nilitegemea na hapo kwenye imekaribia angeandika "Himekaribia"Ame... siyo Hame.....