Wakudadisi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 626
- 528
Nyanda za juu kusini huwa nasikia kunauchawi wahivyo kutaka kuwa tajiri?Kuku alikula punje chache sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyanda za juu kusini huwa nasikia kunauchawi wahivyo kutaka kuwa tajiri?Kuku alikula punje chache sana.
Machungu ya ajali nayajua😂😂😂 nkamu wewe muoga
Uje siku moja twende Green city nikuendeshe
Pole Nkamu 🥹Machungu ya ajali nayajua
Sihitaji kupata mara nyingine aisee
New force siyo gari kwenye mwendo..wanakimbia hovyo.
Na ndio gari linaongoza kwa ajali.
Akishafukiwa hakuna hata mmoja atabaki hapo kumpa sapoti usiku wa leo. Tumtumaini Mungu jameni maana yy hatakuacha pekeyakoNimeona msafara wa magari wa mazishi, dah, noma sana si mchezo tajiri ana watu
Chunya watu wana kufuru🙌Nimeona msafara wa magari wa mazishi, dah, noma sana si mchezo tajiri ana watu
Tuendelee kuomboleza tajiri wetu jamaniPole Nkamu 🥹
Kweli kabisa umeyasema kama niliyotaka kusema?Achana na mitanzania inayoamini katika ushirikina, kutwa kujadiri simba na yanga, wapambanaji wakitoboa wanazushiwa wanalogwa. Poor country
Km ulivaa bra mikanda mibovu nyonyo utalikuta limechomoka lipo nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu ni Mkuu sanaWa kwanza kushoto aliepona kwenye ajali
Utukufu kwa Mungu watoto wadogo upona kwenye ajali kwa sababu miwili yao inakubali kuviringika wakati wa mgongano thus upata madhara madogo, kiroho pili ulindwa na malaikaWa kwanza kushoto aliepona kwenye ajali
Wazee wa physics tutakwambia volume. Umbile la mtoto ni dogo hivyo si rahisi kuathirika. Alisikika mwanafizikia mmoja anayekaa kitangiliMungu ni Mkuu sana
Kweli watoto ni Malaika, namna gari imepondeka,sijui hata kametokaje salama.
Hv chunya dhahabu bado haijaisha. Zamaani tulikuwa tunaziokota mtoni tu hukoChunya watu wana kufuru🙌
Hela zimelala huko
Magari ya kifahari yamejaa
Huyo kuku anapatikana wapi aiseeKuku alikula punje chache sana.
Mi naona ni Mungu tuWazee wa physics tutakwambia volume. Umbile la mtoto ni dogo hivyo si rahisi kuathirika. Alisikika mwanafizikia mmoja anayekaa kitangili
Bado ZipoHv chunya dhahabu bado haijaisha. Zamaani tulikuwa tunaziokota mtoni tu huko
Yaa unaweza kupata zali la mentaliBado Zipo
Watu wanazichimba kila siku
Acha niendelee kutembelea mtoni
Huenda nikaiokoka siku moja
Hao wote nasikia ni watoto wake , ana watoto 16 na wake 3.Wa kwanza kushoto aliepona kwenye ajali
Nyie wana arts endeleeni kudunda tu kwenye ardhi ya mola.Tuendelee kuomboleza tajiri wetu jamani
Nimeumia sana
40yrs bado mdogo sana mwee