kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Huyu nae anaangukia kwenye kundi la Wapumbavu wa Lissu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awakemee wale watakaoshindwa kutenda haki. Tume imeshindwa kutenda haki. Kwa nini viongozi wa vyombo vya usalama na sheria hawalioni hili? Hakuna haki, hakuna amani.Mkurugenzi wa mashtaka nchini Tanzania (DPP), Biswalo Mganga amesema yeyote mwenye lengo la kuvuruga amani ya nchi atashughulika bila kujali dini, jinsia wala cheo chake...
Hiyo siyo katiba! Hata kwa katiba ya sasa, DPP hana kazi hiyo! Hayo ni maamuzi ya mtu bwege kuamua kujiingiza kwenye kazi zisizohusiana na ofisi yake.Tunahitaji katiba mpya ili kuwepo na vipengele vya kuwadhibiti watu kama hao.