Mkurugenzi wa NEC amejiandikisha, je unadhani atachagua viongozi wa chama gani?

Mkurugenzi wa NEC amejiandikisha, je unadhani atachagua viongozi wa chama gani?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
20241020_045846.jpg
 
Uzuri wa upigaji kura Tanzania ni WA Siri sana , unaweza kuwa ni mgombea na ukaongozona na mumeo au mkeo kupiga kura na akampigia mpinzani wako
 
Uandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa umeshawaonyesha taa nyekundu baada ya watu kutokwenda kujiandikisha sasa wanapita nyumba Kwa nyumba Ili wajaze madaftari yao. Ndo maana picha ni nyingi mitandaoni
 
Bc lalamika na rais kujiandikisha kwamba atachagua viongozi wa chama gani
 
Back
Top Bottom