Mkurugenzi wa NIDA abadilishwe ili kuongeza mapato na ufanisi ili ijitegemee na kupeleka mapato serikalini kama TRA

Yaani hakuna taasisi inayochosha kusikia habari zake kama NIDA!
 
Sheria ya vitambulisho vya Taifa ifanyiwe marekebisho ili iwe idara kwenye Taasisi ya Uhamiaji na kutoza pesa kwa aijili ya vitambulisho kuingiza mapato
 
Kuna mdau alishawahi kuandika kwenye stories of change juu ya umuhimu wa kitambulisho cha NIDA hapa nchini.

Jinsi alivyojipambanua anafaa kabisa kuwa mkurugenzi NIDA.

Jiulize ni kipi kinazuia vitambulisho vicheleweshe.

Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)

Soma hapa: SoC04 - Suluhisho la changamoto ya upatikanaji wa kitambulisho cha taifa

Soma hapa: Rais Samia, kero ya upatikanaji wa Kitambulisho cha NIDA imenifika shingoni!

Soma hapa: SoC03 - Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali

Soma hapa: Vitambulisho vya Taifa: Changamoto zinazowakabili wananchi na mwitiko wa Mamlaka (NIDA)

Soma hapa: NHIF: Tutaanza kutambua Wanachama wetu kwa Kitambulisho cha NIDA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…