Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 806
- 2,049
Mkurugenzi wa NDC ndo amefariki sio shirika.Hilo shirika linahusu nini
π² Kumbe wakati mwingine hamlipwi kutetea matawi yenuHilo shirika linahusu nini
Shirika la maendeleo la Taifa , lipo mkabala la mahakama ya Rufani ya Tanzania na pia BOA ( Bank of Afrika) barabara ya kivukoni.Hilo shirika linahusu nini
AEA ni nini?Mwalimu wangu wa AEA huyu. Rest in peace prof
πππ² Kumbe wakati mwingine hamlipwi kutetea matawi yenu
Hilo shirika linahusu nini
Agricultural economics and agribusiness, SUA. Samahani kwa kudhani kila mtu angenielewa.AEA ni nini?
Nilidhani ni Amercan Economic Association, USA.Agriculture economics and agribusiness, SUA. Samahani kwa kudhani kila mtu angenielewa.
Yaani wewe kijana wa magufuli hujui NDC inashunghulika na nn daaa magufuli ana hasara sana kumbe mnaomzunguka ni vilaza kiasi hikiHilo shirika linahusu nini