Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Ni wajinga sana hawa watu vilaza wa kutupwa[emoji44] Kumbe wakati mwingine hamlipwi kutetea matawi yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wajinga sana hawa watu vilaza wa kutupwa[emoji44] Kumbe wakati mwingine hamlipwi kutetea matawi yenu
Haya kilaza wa magu ni shirika la maendeleo la TaifaHilo shirika linahusu nini
Yaani wewe kijana wa magufuli hujui NDC inashunghulika na nn daaa magufuli ana hasara sana kumbe mnaomzunguka ni vilaza kiasi hiki
Wapigakura wa CCM kwa nini ni wajinga kiasi hiki? Mtaji wa CCM ni ujinga. Elimu yetu itaendelea kuwa mbovu kama mkakati wa CCM kuendelea kuwa madarakani.
Halafu huwa anajifanya mjuaji kweli huyu member kumbe kilaza wa ajabu anachojua kichwani mwake ni jina la magufuli mpumbavu kabisaKilaza wala hana aibu kabisa. Yaani hawa vilaza ndio tunapoteza muda kubishana nao hapa.
It should be Agricultural Economics and Agribusiness.Agriculture economics and agribusiness, SUA. Samahani kwa kudhani kila mtu angenielewa.
It should be Agricultural Economics and Agribusiness.
Yaani wewe unajifanya umepitia chuo kumbe hata long form ya course abbreviation hujui......halafu mnasema Magufuli hatoi ajira. Atoe ajira kwa pimbi?
Sasa wewe unajua Nini? Hata NDC hujui? Wewe ungekua mti Basi ungekua mpapai dume. Hufai hata kua gogo la chooHilo shirika linahusu nini
Makaa ya mawe ya TancoalHilo shirika linahusu nini
Ila kama kuna mwaka ma prof wa SUA wamepukutika ni 2020.
Wasipoajiri na kupandisha status za wanazuoni kile chuo kitabakiza maDokta na tutorial assistants.
R.I.P Prof Gagambi
Everyday is Saturday............................... 😎
Mkuu hapa hujamsadia, badala yake umempa location ya shirika lilipo.Shirika la maendeleo la Taifa , lipo mkabala la mahakama ya Rufani ya Tanzania na pia BOA ( Bank of Afrika) barabara ya kivukoni.
Aliye andika ule upupu ame claim amesoma SUA.Mtu ambaye amesoma Muhimbili naye anatakiwa kujua AEA ni nini? Asipojua basi hakupita chuo?
Haka ka Jane Lowassa kichwani bila bila. Kuanzia sasa hivi sibishani nacho tena.Sasa wewe unajua Nini? Hata NDC hujui? Wewe ungekua mti Basi ungekua mpapai dume. Hufai hata kua gogo la choo