Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC), kwa hali ilivyo bado wewe na wakurugenzi wenzako mnaamini mnapaswa kuendelea kuwepo ofisini?

Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC), kwa hali ilivyo bado wewe na wakurugenzi wenzako mnaamini mnapaswa kuendelea kuwepo ofisini?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Wakurugenzi wa tume ya uchaguz Tanzania nadhani Kuna mnapaswa kuendelea kujitafakari; hakuna namna nchi itakuwa na maridhiano mkiwa ofisini kwa sababu ninyi ni Moja ya Watu waliotumika vibaya kutweza utu wa Watanzania 2020.

Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?

Lakini wewe bila kuona namna ofisi inavyodhalilishwa umekaa kwenye mkutano tena ukipiga makofi. Mhe. Rais anatamka wazi kwamba tumekoseana na wewe unaelewa anakugusa wewe na taasisi Yako but still you feel comfortable?

Lini tutapata viongozi wanaowaza uwajibikaji? Au Hadi mtumbuliwe? Kaeni pembeni mwache Rais aanze safari ya maridhiano watu wakiwa na amani. Hakuna maridhiano ya kisiasa mbele yenu.
 
Wakurugenzi wa tume ya uchaguz Tanzania nadhani Kuna mnapaswa kuendelea kujitafakari; hakuna namna nchi itakuwa na maridhiano mkiwa ofisini kwa sababu ninyi ni Moja ya Watu waliotumika vibaya kutweza utu wa Watanzania 2020.

Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?

Lakini wewe bila kuona namna ofisi inavyodhalilishwa umekaa kwenye mkutano tena ukipiga makofi. Mhe. Rais anatamka wazi kwamba tumekoseana na wewe unaelewa anakugusa wewe na taasisi Yako but still you feel comfortable?

Lini tutapata viongozi wanaowaza uwajibikaji? Au Hadi mtumbuliwe? Kaeni pembeni mwache Rais aanze safari ya maridhiano watu wakiwa na amani. Hakuna maridhiano ya kisiasa mbele yenu.
Hiyo NEC imejaa mijitu ya ajabu sana. Majitu manafiki, maongo, yasiyostahili kuwepo katika jamii ya watu waliostaarabika. Hawa ilistahili kufukuzwa mara moja, na kutoruhudiwa kupewa nafasi yoyote ya kuhudumia umma. Wapewe tu haki ya kuendesha maisha yao kwa njia nyingine kama vile ufugaji wa ng'ombe, nguruwe, n.k. lakini hata huko wafuatiliwe na wale wanaotetea haki za wanyama. Maana haya majitu siyo watu, yanaweza kutesa hata wanyama.
 
Kuna Watu wamesusia kikao…ila ndio wanaotoa update ya kila kinachoendelea huko na kuanzisha miajadala ya agenda hizo huku
 
Tena huyo mihela ana 62yrs akapumzike sasa
 
Kuna Watu wamesusia kikao…ila ndio wanaotoa update ya kila kinachoendelea huko na kuanzisha miajadala ya agenda hizo huku
Watu wanatumia fake id, umejuaje kama ndio waliosusia?
 
Kuna Watu wamesusia kikao…ila ndio wanaotoa update ya kila kinachoendelea huko na kuanzisha miajadala ya agenda hizo huku

Kwani anayepaswa kuzungumzia wizi lazima awe ameiba pia?? Taifa hili lina vijana wengi waliokwama kichwani!! Taarifa iliyotolewa kwa umma inakosaje kuzungumziwa na yeyote?? Wewe hukuhudhuria mkutano lakini umepata nafasi ya kuzungumzia. Wewe na aliyesusia tofauti yenu iko wapi???

Pathetic!!
 
Wakurugenzi wa tume ya uchaguz Tanzania nadhani Kuna mnapaswa kuendelea kujitafakari; hakuna namna nchi itakuwa na maridhiano mkiwa ofisini kwa sababu ninyi ni Moja ya Watu waliotumika vibaya kutweza utu wa Watanzania 2020.

Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?

Lakini wewe bila kuona namna ofisi inavyodhalilishwa umekaa kwenye mkutano tena ukipiga makofi. Mhe. Rais anatamka wazi kwamba tumekoseana na wewe unaelewa anakugusa wewe na taasisi Yako but still you feel comfortable?

Lini tutapata viongozi wanaowaza uwajibikaji? Au Hadi mtumbuliwe? Kaeni pembeni mwache Rais aanze safari ya maridhiano watu wakiwa na amani. Hakuna maridhiano ya kisiasa mbele yenu.
Tume ya Mahera na wenzake wote wanatakiwa kujiuzulu kwanza ndio huo mkutano uendelee..

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Unajua maana ya kususia jambo? Tuanzie hapo kwanza
Kwani anayepaswa kuzungumzia wizi lazima awe ameiba pia?? Taifa hili lina vijana wengi waliokwama kichwani!! Taarifa iliyotolewa kwa umma inakosaje kuzungumziwa na yeyote?? Wewe hukuhudhuria mkutano lakini umepata nafasi ya kuzungumzia. Wewe na aliyesusia tofauti yenu iko wapi???

Pathetic!!
 
Wakurugenzi wa tume ya uchaguz Tanzania nadhani Kuna mnapaswa kuendelea kujitafakari; hakuna namna nchi itakuwa na maridhiano mkiwa ofisini kwa sababu ninyi ni Moja ya Watu waliotumika vibaya kutweza utu wa Watanzania 2020.

Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?

Lakini wewe bila kuona namna ofisi inavyodhalilishwa umekaa kwenye mkutano tena ukipiga makofi. Mhe. Rais anatamka wazi kwamba tumekoseana na wewe unaelewa anakugusa wewe na taasisi Yako but still you feel comfortable?

Lini tutapata viongozi wanaowaza uwajibikaji? Au Hadi mtumbuliwe? Kaeni pembeni mwache Rais aanze safari ya maridhiano watu wakiwa na amani. Hakuna maridhiano ya kisiasa mbele yenu.
Hawa jamaa hawana hata aibu. Badowanajiona wanafaa?🤣🤣🤣
 
Hiyo NEC imejaa mijitu ya ajabu sana. Majitu manafiki, maongo, yasiyostahili kuwepo katika jamii ya watu waliostaarabika. Hawa ilistahili kufukuzwa mara moja, na kutoruhudiwa kupewa nafasi yoyote ya kuhudumia umma. Wapewe tu haki ya kuendesha maisha yao kwa njia nyingine kama vile ufugaji wa ng'ombe, nguruwe, n.k. lakini hata huko wafuatiliwe na wale wanaotetea haki za wanyama. Maana haya majitu siyo watu, yanaweza kutesa hata wanyama.
Hivi kwa akili tu kawaida unafikiri NEC wangezungumzia au kupindisha kilichopewa Amri na yule Bwana?

Acheni kuonea NEC tujenge Nchi sasa
 
Wakurugenzi wa tume ya uchaguz Tanzania nadhani Kuna mnapaswa kuendelea kujitafakari; hakuna namna nchi itakuwa na maridhiano mkiwa ofisini kwa sababu ninyi ni Moja ya Watu waliotumika vibaya kutweza utu wa Watanzania 2020.

Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?

Lakini wewe bila kuona namna ofisi inavyodhalilishwa umekaa kwenye mkutano tena ukipiga makofi. Mhe. Rais anatamka wazi kwamba tumekoseana na wewe unaelewa anakugusa wewe na taasisi Yako but still you feel comfortable?

Lini tutapata viongozi wanaowaza uwajibikaji? Au Hadi mtumbuliwe? Kaeni pembeni mwache Rais aanze safari ya maridhiano watu wakiwa na amani. Hakuna maridhiano ya kisiasa mbele yenu.
Aliekuambia watanzania hatuna amani ni nani? sisi tunajua Mahera kasimamia sheria kwenye uchaguzi uliopita ndio maana mnalalamika mlizoea mizengwe sasa akipatikana wa kisimamia sheria mnahaha
 
Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?
Hawa jamaa wameharibu sana nchi hii kwa kulea uchafu, wizi, ukatili, unyama na upuuzi mkubwa.
Hawakutakiwa kuwepo ofcn kabisa muda huu kabisa
 
Wakurugenzi wa tume ya uchaguz Tanzania nadhani Kuna mnapaswa kuendelea kujitafakari; hakuna namna nchi itakuwa na maridhiano mkiwa ofisini kwa sababu ninyi ni Moja ya Watu waliotumika vibaya kutweza utu wa Watanzania 2020.

Mzee Warioba anaposema mbele yenu Kwamba ni mwaka 2020 ndipo wagombea waliposhindwa kujaza for za UCHAGUZI. Maana yake anakuambia wewe na Watu wako mlitumika vibaya. Kwamba wabunge waliotoka Bungeni wakaenda kugombea upya wanashindwa kujaza fomu?

Lakini wewe bila kuona namna ofisi inavyodhalilishwa umekaa kwenye mkutano tena ukipiga makofi. Mhe. Rais anatamka wazi kwamba tumekoseana na wewe unaelewa anakugusa wewe na taasisi Yako but still you feel comfortable?

Lini tutapata viongozi wanaowaza uwajibikaji? Au Hadi mtumbuliwe? Kaeni pembeni mwache Rais aanze safari ya maridhiano watu wakiwa na amani. Hakuna maridhiano ya kisiasa mbele yenu.
amesahau sisi wote ni wafu watarajiwa.
 
Neno kuwajibika huwa ni gumu sana kwa Watanzania and the fact is vyeo huwa ni vitamu sana. Mtu anawaza ajiuzuli kweli aache per di~em's, posho za vikao na usafiri and the likes? Mwisho wa siku mtu anaamua tu kama mbwai na iwe mbwai anaamua kubaki zake ofisini tu kikauzu.
 
Back
Top Bottom