Mkurugenzi wa Uchimbaji Visima aondolewa kwa kutofika Hanang baada ya Mafuriko

Mkurugenzi wa Uchimbaji Visima aondolewa kwa kutofika Hanang baada ya Mafuriko

Sio kazi ya Bashe kushughulikia vitu hivyo, yeye anahusuka na utungaji sera na kuizuia serikali, ikipitishwa kuna wapo wa kuwajibika...mfano hazina kuipatia wizara bajeti ya utekelezaji.

Kama haoewi pesa hawezi kutoa oesa nfukoni.
Watanzania ni vilazza hawajui kuhukunu kwa haki...
BASHE anajaribu
Haya Mheshimiwa 😀
 
Kwa maelezo yako kwa sasa maji sio muhimu ? Hiv unatumia nin kufikiria lakin wew 😂😂😂😂 Au ndio Pinga Pinga Fc 😂😂😂😂
Visima huchimbwa kiangazi, sijui masika utapimaje sehemu sahihi ya kuchimba maana kila mahali pana maji.
 
Back
Top Bottom