mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,267
- 4,634
Oscar Mirambo rasmi ndiye mkurugenzi wa ufundi atahusika na timu ya taifa zote za vijana na wakubwa,wakike na kiume.
Ana kazi ya kuandaa sera za mpira wa Tanzania na kutoa mwongozo wa namna soka letu liwe ili iwe faida kwetu.Ana ujuzi katika menejiment na ukocha pia.
Je,unaonaje maamuzi haya ya TFF?
Ana kazi ya kuandaa sera za mpira wa Tanzania na kutoa mwongozo wa namna soka letu liwe ili iwe faida kwetu.Ana ujuzi katika menejiment na ukocha pia.
Je,unaonaje maamuzi haya ya TFF?