Mkurugenzi wa zamani wa NIDA, Dickson Maimu akutwa na kesi ya kujibu

Mkurugenzi wa zamani wa NIDA, Dickson Maimu akutwa na kesi ya kujibu

Huyu boya sio ndio alikuaga anaropoka idadi ya Watumishi waliofoji vyeti kipindi Cha JK ili apewe sifa kumbe kagusa watu wengi. Na yule Ngosha naye akashupalia watu wakafukuzwa bila stahiki zao.. sasa na yeye kakutana na wajanja ananyea ndoo hii Nchi ukitaka kuishi vizuri acha na Ujuaji utaishia pabaya...
 
Huyu mchizi alikua anavaaga bonge la cheni

Hivi Bilioni 1 ni hela ya kujidhalilisha namna hii aisee?

Hivi kwanini mtu unafanya kazi serikalini aisee?

Kwanini usifanye biashara tu kuepuka ungese wote huu?
hata kwenye kazi/biashara binafsi pia si unaweza ukakutana na msala?
 

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkutana kesi ya kujibu aliyekuwa mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu na wenzake wanne na hivyo wanatakiwa kuanza kujitetea.

Maimu na wenzake wanne wanakabiliwa na mashtaka 55 yakiwemo ya kutakatisha fedha na kuisababishia Serikali hasara ya Sh1.175 bilioni.

Mwananchi
Hamna Kesi hapo na sasa hivi tutakuwa nao tu humu Mitaani kwani kwa Pesa walizonazo kuna sehemu zitapitishwa na hatimaye Wote watakutwa hawana Hatia yoyote ile. This is Tanzania!
 
Hii nchi kuna vyeo ukipata jiandae baadae kujibu kesi au piga hela ili baadae uje uwe na hela uweze kujitetea...

Otherwise unaeza kuwa mwadilifu na bado ukafungwa vile vile
 
Back
Top Bottom