BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Ni Sylivester Vananth, aliyekuwa Mkusanya Mapato ya Halmashauri ya Ngara, Kagera aliyepewa hukumu hiyo na Mahakama baada ya kukutwa na hatia katika Kesi ya Uhujumu Uchumi na Ubadhirifu.
Mshtakiwa alikiri Kosa na kuomba huruma ya Mahakama kwenye upande wa adhabu kwa kuwa ameshalipa Tsh. 10,666,600 alizokusanya kinyume cha Sheria pamoja na kueleza kuwa yeye ni Mgonjwa.
Mbele ya Waendesha Mashtaka wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na baada ya kuona uthibitisha wa malipo ya Fedha, Mahakama ilimpa adhabu ya kutumikia kifungo hicho.
Mshtakiwa alikiri Kosa na kuomba huruma ya Mahakama kwenye upande wa adhabu kwa kuwa ameshalipa Tsh. 10,666,600 alizokusanya kinyume cha Sheria pamoja na kueleza kuwa yeye ni Mgonjwa.
Mbele ya Waendesha Mashtaka wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na baada ya kuona uthibitisha wa malipo ya Fedha, Mahakama ilimpa adhabu ya kutumikia kifungo hicho.