Mkutano Jumuiya ya Madola, Kigali

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Rwanda wameandaa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Madola ambao unakaribisha wakuu wa nchi na serikali wapatao 54.

Tuna ya kujifunza toka kwa jirani zetu hawa. Fikiria wameuana yapata milioni 1 mwaka 1994. Wengi wakakimbia nchi Kama wakimbizi, baadhi wamerudi wanajenga nchi.

Leo hii ni mwanachama (mchanga wa Commonwealth) na sasa wanaandaa mkutano mkubwa duniani.

 
Unajua kuwa sababu za Rwanda kupewa huo mkutano ni mkataba wake na UK wa kupokea wakimbizi watakao kuwa wanakimbia UK?
 
Aisee! habari ndio hii,na mkutono wa FIFA congress 73 wa kumchagua Rais wa FIFA utafanyika Rwanda 2023.
 

Attachments

  • IMG_20220623_142350.jpg
    502.1 KB · Views: 3
  • IMG_20220624_115957.jpg
    88.8 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_115705.jpg
    362 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_120004.jpg
    75.6 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_115324.jpg
    132.8 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_115652.jpg
    628.5 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_115301.jpg
    73.4 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_115659.jpg
    738.2 KB · Views: 4
  • IMG_20220624_115656.jpg
    608.9 KB · Views: 5
  • IMG_20220624_115906.jpg
    243.2 KB · Views: 4
  • IMG_20220623_210931.jpg
    141.9 KB · Views: 7
  • IMG_20220624_115752.jpg
    207.3 KB · Views: 5
  • IMG_20220624_115538.jpg
    164.8 KB · Views: 4
Unajua kuwa sababu za Rwanda kupewa huo mkutano ni mkataba wake na UK wa kupokea wakimbizi watakao kuwa wanakimbia UK?
Na mkutano wa kumchagua rais wa FIFA utafanyikia mwakani huko,Mkutano mwingine wa nchi za francophone (nchi 88) utafanyikia huko pia, bado Kuna mkutano wa Woman deliver utakaokua na wageni 6,000 nao Ni huko huko.Yaani Wana mikutano Kama yote.

Nashauri kila nchi ianze kuwapokea wakimbizi kutoka UK ili ipate mikutano kama hio ipige biashara.
 
Unadhani nchi yenye GDP ya USD 70+ Billion ni ya kutegemea mikutano? Mikutano mingapi nchi hii imeandaa? Je, unadhani tunaweza kuongeza chochote kisiasa, kiuchumi? Kidiplomasia?
 
Unadhani nchi yenye GDP ya USD 70+ Billion ni ya kutegemea mikutano? Mikutano mingapi nchi hii imeandaa? Je, unadhani tunaweza kuongeza chochote kisiasa, kiuchumi? Kidiplomasia?

$70bil tu?

Brazil Ni mojawapo ya nchi inayoongoza kwa MICE(Meetings, Incentives, Conferences,Exhibitions) tourism yenye GDP Ya 1.445 trillion USD.
 
Unajua kuwa sababu za Rwanda kupewa huo mkutano ni mkataba wake na UK wa kupokea wakimbizi watakao kuwa wanakimbia UK?
Unajua kua huo mkutano ulikua ufanyike Rwanda 2yrs ago ikashindikana kwa sababu ya corona? Mkataba na UK wa kupokea wakimizi ni wa mwaka huu. For your information kwa sasa Rwanda ndio boss wa Commonwealth na La Francofonie .
 
Hawa nilikua nikiwakubali ila naona wanaanza kuparatia sana mabeberu soon wataanza kutumiwa, juzi eti walikubali kuwapokea wakimbizi, sasa ni mda wa spana kwa hawa mbwa
 
Unajua kua huo mkutano ulikua ufanyike Rwanda 2yrs ago ikashindikana kwa sababu ya corona? Mkataba na UK wa kupokea wakimizi ni wa mwaka huu. For your information kwa sasa Rwanda ndio boss wa Commonwealth na La Francofonie .
Mkuu Commonwealth si yule Mama Scotland?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…