wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Chairman Ni PK Sasa,yule mama ni Secretary General.Mkuu Commonwealth si yule Mama Scotland?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chairman Ni PK Sasa,yule mama ni Secretary General.Mkuu Commonwealth si yule Mama Scotland?
Kwahiyo tutegemee utulivu Eastern CongoNa mkutano wa kumchagua rais wa FIFA utafanyikia mwakani huko,Mkutano mwingine wa nchi za francophone (nchi 88) utafanyikia huko pia, bado Kuna mkutano wa Woman deliver utakaokua na wageni 6,000 nao Ni huko huko.Yaani Wana mikutano Kama yote.
Nashauri kila nchi ianze kuwapokea wakimbizi kutoka UK ili ipate mikutano kama hio ipige biashara.
Nadhani tuwaulize wacongo ni kwanini nchi Yao haina Utulivu kabla hata Kagame hajazaliwa?Wakishapata majibu then wataamua hatma ya nchi Yao Kama wanataka utulivu au saga liendelee.Kwahiyo tutegemee utulivu Eastern Congo
Sawa Ukoloni ulienda sasa baada ya uhuru kuna majambo yanaendelea ya makusudi ku destabilize amani ya Congo.Nadhani tuwaulize wacongo ni kwanini nchi Yao haina Utulivu kabla hata Kagame hajazaliwa?Wakishapata majibu then wataamua hatma ya nchi Yao Kama wanataka utulivu au saga liendelee.
Yule mama ni katibu mkuu - SG. Chairman ni Paul Kagame.Mkuu Commonwealth si yule Mama Scotland?