Mkutano Jumuiya ya Madola, Kigali

Kwahiyo tutegemee utulivu Eastern Congo
 
Nadhani tuwaulize wacongo ni kwanini nchi Yao haina Utulivu kabla hata Kagame hajazaliwa?Wakishapata majibu then wataamua hatma ya nchi Yao Kama wanataka utulivu au saga liendelee.
Sawa Ukoloni ulienda sasa baada ya uhuru kuna majambo yanaendelea ya makusudi ku destabilize amani ya Congo.

Anyways signature yako Mkuu inafurahisha sana.
 
Middle East and North Africa (MENA) hawana shobo na Uingereza. Wanazisaka pesa Kwa njia ya heshima bila kutweza utu wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…