Mkutano mkubwa wa siri wa NATO unafanyika Poland bila ya uwepo wa Marekani

[emoji1787]
 
Proof niweke mimi kitu ambacho hakipo?

Hakuna mkutano wa NATO unaoendelea Poland sasa hivi, nikuwekee hewa?

Ukraine war: Western allies say they are running out of ammunition​

Adm Rob Bauer, Nato's most senior military official, told the Warsaw Security Forum that "the bottom of the barrel is now visible".
He said governments and defence manufacturers now had to "ramp up production in a much higher tempo".
Ukraine fires thousands of shells every day and most now come from Nato.
The admiral, who chairs Nato's Military Committee, said decades of underinvestment meant Nato countries had begun supplying Ukraine with weapons with their ammunition warehouse already half-full or even emptier.
 
Kili nikiisoma hiyo habari na jinsi vile mnaibeba naona ni vitu viwili tofauti

By the way, have some snacks Polish president says Biden assured partners of continued support for Ukraine
 
Apo ingekuwa kipindi kile Cha mahusiano mazuri na USA, angempambania ufaransa katika sakata lake uko kwy makoloni yake
 
Huo ndiyo mkutano wa siri wa NATO? Hivi unafikiri Watanzania wote ni mabumbumbu?

Hizo habari zipo BBC na Wamerekani uliosema hawapao, hawa hapa:

The US state department says that over the same timescale, America has given Ukraine more than two million Nato standard 155mm artillery rounds.
Chanzo cha hizo habari ni BBC:

Hivi wewe unatuona mapoyoyo sana hapa JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…