Mkutano mkubwa wa siri wa NATO unafanyika Poland bila ya uwepo wa Marekani

Mkutano mkubwa wa siri wa NATO unafanyika Poland bila ya uwepo wa Marekani

Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani[emoji116]: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
Huu sio mkutano wa siri, hadi matonya toka utonyani anajua
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani[emoji116]: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
kama mkataba usio na kikomo umesainiwa na umewekwa wazi na hujachukua hatua yoyote , hlf unataka wafananisha wazungu na upimbi wako ? wenzio wanaangalia kesho na hawana akili za kitumwa , hawasubir mpk ttzo lisogee mlangoni kama ww unasubir waarab waje uone mapunguf ndo uanze kulia sababu ww ni mtumwa na bado akili yako ya kitumwa , hii vita Ulaya hawana namna maaba wakikaa kimya kesho urusi asogea zaidi ndan ya Ulaya na itakuwa ngumu kumkabili maana atatumia maeneo aliyoyateka kuwasumbua ulaya maana sera za Urusi zinalenga kujitanua kila siku , ila ww wakolon walikuja na jeshi la watu 300 wakafanikiwq kuiteka Tangagiza yote sabab alipopigwa mzaramo mkasema hayanihusu , ulipofikiwa na ww ukapigwa ukatekwa pia kumbe ungeungana tangu awali mngemshinda adui , ULAYA SIO WATUMWA KAMA WEWE
 
Pokea taarifa kwa utekelezaji mkuu, na sio kunihoji nimejuaje huku ukiwa labda unahisi wote tupo Tanzania
Baadhi ya watanzania hua ni wajinga sana.
Siri ktk Mkutano huo maana yake kweli waamekutana,lakini hakuna taarifa yoyote kwa chombo chochote Cha habari kua watakutana.
Na yanayozungumzwa ndani hayatatoka.haijalishi wameonekana wamekutania sehemu Gani.
Msemaji hatasema chochote kama ilivyo kawaida,mkutano huo utajulika kua ni WA Siri.
Mkutano wa wakuu wote wa majeshi ya ulaya magharibi ambayo yamo kwenye umoja wa NATO lkn Mkuu wa majeshi wa USA hakuwemo.

Sioni kwa Nini watu wanakupinga.
 
Mkutano wenyewe unaozungumzia ndio huu hapa? Usiri wake ni upi?

Huo sio mkutano wa NATO. Ni mkutano unaofanyika kila mwaka kuhusu masuala ya ulinzi na ushirikiano wa kimataifa (Warsaw Security Forum). NATO imepeleka mjumbe kama mgeni mwalikwa tu.

wsf.png


Source:
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani[emoji116]: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
Beberu mkuu kaminywa pabaya huko nyumbani kwao,mpambe UK,nako home kwa moto,hapo wanajadili ama waendelee kujitutumua,ama jirani msaliti wa mr.moscivisht akubali yaeeshee.😂
 
Maybe ni counterattack ya BRICS na impact ya mkutano wa Sauzi
 
Ndio maana hata nimeamua wengine nisiwajibu maana wengi wao wanaleta ushabiki maandazi
Baadhi ya watanzania hua ni wajinga sana.
Siri ktk Mkutano huo maana yake kweli waamekutana,lakini hakuna taarifa yoyote kwa chombo chochote Cha habari kua watakutana.
Na yanayozungumzwa ndani hayatatoka.haijalishi wameonekana wamekutania sehemu Gani.
Msemaji hatasema chochote kama ilivyo kawaida,mkutano huo utajulika kua ni WA Siri.
Mkutano wa wakuu wote wa majeshi ya ulaya magharibi ambayo yamo kwenye umoja wa NATO lkn Mkuu wa majeshi wa USA hakuwemo.

Sioni kwa Nini watu wanakupinga.
 
Jijini Lublin nchini Poland kuna mkutano mzito unaoendelea wa nchi wanachama wa jumuiya ya NATO, lakini cha kushangaza Kiranja wao Marekani hajaalikwa katika mkutano huo.

Baadhi ya maswali ni mengi ninayojiuliza;
1. Thima kuu ya Mkutano huo ni nini hasa??
2. Ni kwa nini Marekani hajaalikwa?

3. Je, nchi za umoja wa Ulaya zinataka kujiondoa katika mzozo wa Ukraine na Urusi?

4. Au zinajadili hali mbaya ya kiuchumi katika ukanda huo?

5. Au zimechoshwa na tabia ya matonya Zele ya kutembeza bakuli?

Nk,
Nk,
Nk.

Pichani[emoji116]: aviation satellite images zikionyesha anga la Poland na nchi jirani na ndege za matifa kadhaa ya Ulaya yaliyohudhuria mkutano huo.
View attachment 2770434View attachment 2770435View attachment 2770436View attachment 2770437
Yaani wewe Mrusi wa Mchambawima umejua Kuna mkutano wa Siri wa NATO, halafu Marekani asijue?
 
Back
Top Bottom