Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu kura zote kwa Magufuli kuelekea nchi ya Maziwa na Asalia

Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu kura zote kwa Magufuli kuelekea nchi ya Maziwa na Asalia

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,602
Reaction score
1,650
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa kati wa juu zaidi. Sina sababu ya kuyaeleza yote aliyoyafanya kwa Taifa na hata kwa Chama Cha Mapinduzi katika kipindi kifupi cha miaka 5.

Mafanikio ni makubwa kwa sekta za afya, elimu,miundo mbinu ya barabara,bandari, mawasiliano, viwanda, maji, madini,reli,nidhamu, rushwa, uwajibikaji. Tulitaka Rais wa namna yake.

Tunaomba mturejee huku kwingine tutamalizana nao. Tunawatakia Mkutano Mkuu mwema na Mungu awatangulia kwa yote yaliyo mema.
 
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa kati wa juu zaidi. Sina sababu ya kuyaeleza yote aliyoyafanya kwa Taifa na hata kwa Chama Cha Mapinduzi katika kipindi kifupi cha miaka 5.

Mafanikio ni makubwa kwa sekta za afya, elimu,miundo mbinu ya barabara,bandari, mawasiliano, viwanda, maji, madini,reli,nidhamu, rushwa, uwajibikaji. Tulitaka Rais wa namna yake.

Tunaomba mturejee huku kwingine tutamalizana nao. Tunawatakia Mkutano Mkuu mwema na Mungu awatangulia kwa yote yaliyo mema.
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
Kama umefikia hatua ya kumkosoa muumba wako na kujihisi uko sahihi ujue kuna hitilafu kubwa ktk ubongo wako. Kwahiyo hata mawazo yako yanakuwa yakipumbavu tu.
 
Kama umefikia hatua ya kumkosoa muumba wako na kujihisi uko sahihi ujue kuna hitilafu kubwa ktk ubongo wako. Kwahiyo hata mawazo yako yanakuwa yakipumbavu tu.
Ndio ukweli huo, kiumbe cheusi ni tabuuu!! Ndio maana mnafikia hatua ya kumuabudu binadamu mwenzenu kama mungu, na yeye kweli anajiona ni mungu!!! Roho za kichawi chawi tu,
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
We nikiumbe mweupe??
Kama laaa
Unapata wapi jeuri au kibri Cha kumkosoa mungu kusema alikosea??
Je ni Nan kakwambia ww mawazo yako ndyo yako sahihi!!?

Ukinijibu itapendeza
 
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa kati wa juu zaidi
Kwani anagombea na nani? Si ni mkutano wa ndani? Hii inawezekana Chadema tu na sio CCM kama mnavyowaza! Chadema hata ikitokea ukasimama peke yako lazima kuna kura upate otherwise unapigwa chini kama Sumaye. Huyu anasimama na nani??
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
mkuu you sound highly intelligent and externally exposed!! pole sana but relax bro Afrika ni bara la giza for many centuries to come!! but hujaonesha waziwazi una maanisha nini ulichosema hasa kuunganisha nondo zako hizi na sentensi mojawapo ya mtoa mada!! mimi huandika staili hiyo hiyo ya kwako nikidhani kila mtu ana akili ya kuelewa kumbe ni BIG NO!!

Hasira yako kwa Allah ni kutaka watu weusi wawe na akili kama wazungu na hilo haliwezekani sababu wanasiasa kwa kuwa na akili ndogo za kimaskini huweka sera ya elimu ya Pyramid shape ambapo mamilioni ya watu hudidimia katika ujinga maisha yao yote!! malengo la wanasiasa hawa ni matatu
1. kujihakikishia mlo wa kila siku na masurufu mengine yote ya maisha sababu kutokana na kuishi in poverty setting all Africans automatically create food insecurity feelings na kuanza kutapatapa kuiba mali ya umma hii yote ni hofu ya kufa njaa hata awe Rais!!

2. Kuendelea kutawala na kusifiwa kwenye jamii ndani na nje. Viongozi weusi kutokana na kuzungukwa na watu maskini wanaowatukuza na kuwalamba miguu na kuwaimbia nyimbo na mapambio basi huongeza makeke na kutaka sifa kibao na pia huhakikisha raia ni wajinga ila matukufu haya yasiishe inaitwa ITIFAKI!!

3. Lengo kuu la viongozi weusi ni Kuhakikisha wapiga kura ni watu maskini na wajinga wasioelewa mambo na viongozi hutaka kuwatawala milele kuanzia babu awe kiongozi, baba na mjukuu!!!

By the way Allah aliagiza watu kutafuta elimu sasa mtu akiwa mjinga ni jukumu lake!!
 
Naona wachangiaji wachache sana kwenye uzi huu.nilitegemea wahafidhina wajaze seva hapa kuunga hoja hii lakini imekua kinyume chake. Naamini kuna kitu mahali hawa green colors hawajakikubali ila wanajiuliza nani ajitoe muhanga?hawaoni wamebaki wameduwaaa

Hivi democrasia ndani ya Chama hiki imeshndwa kupnyeshwa mpaka tukakubali mtu mmoja achukue form hivi tunaogopa nini?
Naomba mnikumbushe kipind cha awamu ya pili ya BWM naJK hawakuepo wachukua form?
Kama walikuepo hofu yetu nini na juu ya nini maana Chama ni Chetu wote?
Wanaccm tujitafakari sana democrasia yetu ndani ya Chama chetu CCM imenda wapi???
 
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa kati wa juu zaidi. Sina sababu ya kuyaeleza yote aliyoyafanya kwa Taifa na hata kwa Chama Cha Mapinduzi katika kipindi kifupi cha miaka 5.

Mafanikio ni makubwa kwa sekta za afya, elimu,miundo mbinu ya barabara,bandari, mawasiliano, viwanda, maji, madini,reli,nidhamu, rushwa, uwajibikaji. Tulitaka Rais wa namna yake.

Tunaomba mturejee huku kwingine tutamalizana nao. Tunawatakia Mkutano Mkuu mwema na Mungu awatangulia kwa yote yaliyo mema.
Wasifanye makosa kwani anashindana na nani, wakati aliogopa KUJIPIMA na Membe? CCM mnafanya vichekesho sana.
 
Ndio ukweli huo, kiumbe cheusi ni tabuuu!! Ndio maana mnafikia hatua ya kumuabudu binadamu mwenzenu kama mungu, na yeye kweli anajiona ni mungu!!! Roho za kichawi chawi tu,
Acha kuteseka mkuu, uko bar gani muda huu? Umesikia kiwanda cha konyagi kimeamua kubadili product na kitaanza kutengeneza juice fresh? Najua Mbowe na wewe mtateseka sana
 
We nikiumbe mweupe??
Kama laaa
Unapata wapi jeuri au kibri Cha kumkosoa mungu kusema alikosea??
Je ni Nan kakwambia ww mawazo yako ndyo yako sahihi!!?

Ukinijibu itapendeza
Mkuu, hawa ngozi ya tako uvccm lumumba wanakera sana. Wapo tayari kuliingiza Taifa kwenye madhila makubwa na ya muda mrefu, ili kushibisha njaa ya muda mfupi ya matumbo yao.
 
mkuu you sound highly intelligent and externally exposed!! pole sana but relax bro Afrika ni bara la giza for many centuries to come!! but hujaonesha waziwazi una maanisha nini ulichosema hasa kuunganisha nondo zako hizi na sentensi mojawapo ya mtoa mada!! mimi huandika staili hiyo hiyo ya kwako nikidhani kila mtu ana akili ya kuelewa kumbe ni BIG NO!!

Hasira yako kwa Allah ni kutaka watu weusi wawe na akili kama wazungu na hilo haliwezekani sababu wanasiasa kwa kuwa na akili ndogo za kimaskini huweka sera ya elimu ya Pyramid shape ambapo mamilioni ya watu hudidimia katika ujinga maisha yao yote!! malengo la wanasiasa hawa ni matatu
1. kujihakikishia mlo wa kila siku na masurufu mengine yote ya maisha sababu kutokana na kuishi in poverty setting all Africans automatically create food insecurity feelings na kuanza kutapatapa kuiba mali ya umma hii yote ni hofu ya kufa njaa hata awe Rais!!

2. Kuendelea kutawala na kusifiwa kwenye jamii ndani na nje. Viongozi weusi kutokana na kuzungukwa na watu maskini wanaowatukuza na kuwalamba miguu na kuwaimbia nyimbo na mapambio basi huongeza makeke na kutaka sifa kibao na pia huhakikisha raia ni wajinga ila matukufu haya yasiishe inaitwa ITIFAKI!!

3. Lengo kuu la viongozi weusi ni Kuhakikisha wapiga kura ni watu maskini na wajinga wasioelewa mambo na viongozi hutaka kuwatawala milele kuanzia babu awe kiongozi, baba na mjukuu!!!

By the way Allah aliagiza watu kutafuta elimu sasa mtu akiwa mjinga ni jukumu lake!!
Mkuu wajinga ndio waliwao siku zote [emoji1787][emoji1787]
 
Acha kuteseka mkuu, uko bar gani muda huu? Umesikia kiwanda cha konyagi kimeamua kubadili product na kitaanza kutengeneza juice fresh? Najua Mbowe na wewe mtateseka sana
Ndio unazidi kuni prove kuwa nilichosema ni kweli, yaani mawazo ya kichawi chawi tu, ndio maana sanamu /picha za majitu ya kutisha lazima ziwe nyeusi!! Yesu, bikira maria, na maraika wote ni weupe!! Wewe mtu mkitofautiana kwenye mitazamo tu ya kisiasa tayari ni adui wako? Bora umuue?? Huo si uchawi tu
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
Duh!
mkuu unasema Mungu alikosea kutuumba sisi weusi? 🤔
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
Unafika hatua ya kumkosoa Mungu, kumaanisha kwamba wewe ni bora kuliko huyo Muumba, kiasi kwamba unaweza kuona dosari alizofanya! Hapo hapo sijui Mzungu alikufanyia nini umuone yeye ni bora? Zaidi ya hayo, tukichukulia kwamba mtoa mada unayempinga ni mweusi, yeye hakukusanya mawazo yetu kukufanya wewe ututukane weusi wote kwa ujumla. Hii ni kasumba mbaya sana. Kama wewe huuthamini weusi wako, malizana na Muumba wako peke yenu. Tupo ambao hatuna ugomvi na Muumba kwa kutuumba weusi na hatumlalamikii kamwe. Tukirudi kwenye hoja yenyewe, mtoa mada amesema Rais Magufuli amefanya makuu kiasi kwamba anastahili kupewa miaka mingine mitano. Wewe unarukia kumtukana kwamba hana akili kwa mawazo hayo kwa kuwa tu ni tofauti na yako. Yeye naye atakuona wewe ndiye huna akili kwa kutofautiana na mawazo yako. Tusipande jazba na kuanza kutukanana kwa kutofautiana tu kwa mawazo. Kosoa hoja iliyotolewa kwa kuonyesha kasoro za hoja hiyo. Siyo sahihi kuanza kudadisi akili za mtoa hoja.
 
mkuu you sound highly intelligent and externally exposed!! pole sana but relax bro Afrika ni bara la giza for many centuries to come!! but hujaonesha waziwazi una maanisha nini ulichosema hasa kuunganisha nondo zako hizi na sentensi mojawapo ya mtoa mada!! mimi huandika staili hiyo hiyo ya kwako nikidhani kila mtu ana akili ya kuelewa kumbe ni BIG NO!!

Hasira yako kwa Allah ni kutaka watu weusi wawe na akili kama wazungu na hilo haliwezekani sababu wanasiasa kwa kuwa na akili ndogo za kimaskini huweka sera ya elimu ya Pyramid shape ambapo mamilioni ya watu hudidimia katika ujinga maisha yao yote!! malengo la wanasiasa hawa ni matatu
1. kujihakikishia mlo wa kila siku na masurufu mengine yote ya maisha sababu kutokana na kuishi in poverty setting all Africans automatically create food insecurity feelings na kuanza kutapatapa kuiba mali ya umma hii yote ni hofu ya kufa njaa hata awe Rais!!

2. Kuendelea kutawala na kusifiwa kwenye jamii ndani na nje. Viongozi weusi kutokana na kuzungukwa na watu maskini wanaowatukuza na kuwalamba miguu na kuwaimbia nyimbo na mapambio basi huongeza makeke na kutaka sifa kibao na pia huhakikisha raia ni wajinga ila matukufu haya yasiishe inaitwa ITIFAKI!!

3. Lengo kuu la viongozi weusi ni Kuhakikisha wapiga kura ni watu maskini na wajinga wasioelewa mambo na viongozi hutaka kuwatawala milele kuanzia babu awe kiongozi, baba na mjukuu!!!

By the way Allah aliagiza watu kutafuta elimu sasa mtu akiwa mjinga ni jukumu lake!!
 
Ndio unazidi kuni prove kuwa nilichosema ni kweli, yaani mawazo ya kichawi chawi tu, ndio maana sanamu /picha za majitu ya kutisha lazima ziwe nyeusi!! Yesu, bikira maria, na maraika wote ni weupe!! Wewe mtu mkitofautiana kwenye mitazamo tu ya kisiasa tayari ni adui wako? Bora umuue?? Huo si uchawi tu
[/QUOTE
exactlly
 
Back
Top Bottom