Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu kura zote kwa Magufuli kuelekea nchi ya Maziwa na Asalia

Uchaguzi 2020 Mkutano Mkuu kura zote kwa Magufuli kuelekea nchi ya Maziwa na Asalia

Ndiooo!! Kutokana na roho zetu za kichawi kichawi tu!!! Mtu yupo tayari kuona roho za watu zinapotea, yeye anashabikia kisa mfumo unaotesa wengine ananufaika nao!! Ndio maana unaona hata viingozi wa dini nao ni wale wale tu!!
Lakini hata hao wazungu ujue wamemwaga damu sana mpaka kufikia hivyo viwango walivyonavyo sasa? Na wanaelewa inakuwaje pale haki za watu zinapogandamizwa.
Nasi twahitaji kupitia huo moto ili kieleweke, ni unyonge na hali ya kusahau wa watanzania ndio kinachoipa jeuri hiking chama kinachojinasibu kutawala Noelle.
Bila kuamua tutaendelea kuwa nyuma kwa kila jambo
 
Ndio ukweli huo, kiumbe cheusi ni tabuuu!! Ndio maana mnafikia hatua ya kumuabudu binadamu mwenzenu kama mungu, na yeye kweli anajiona ni mungu!!! Roho za kichawi chawi tu,
MODS tafadhali ingieni kati. Mwandishi, kwa kuzidiwa hoja, analeta mambo ambayo yako nje kabisa ya mada na kutaka kuanzisha ugomvi wa kidini kwa kukosoa dini za wenzake. Mtoa mada wa awali alikuwa anazungumzia ufanisi wa Rais Magufuli na hakuashiria cho chote cha dini.
 
MODS tafadhali ingieni kati. Mwandishi, kwa kuzidiwa hoja, analeta mambo ambayo yako nje kabisa ya mada na kutaka kuanzisha ugomvi wa kidini kwa kukosoa dini za wenzake. Mtoa mada wa awali alikuwa anazungumzia ufanisi wa Rais Magufuli na hakuashiria cho chote cha dini.
Ugomvi wa kidini upi? Mimi nakataa panapokuwa na watu wanajifanya kumuona kiongozi kama mungu mtu?!! Wakati ni binadamu kama wengine?!! Yule RC, aliyesema kuwa mungu anatakiwa ampongeze kiongozi? Na yule aliyesema kuwa anamfananisha na yesu?! Acha unafiki huo!! Kujifanya mnamjua sana mungu,ktk mchango wangu wa awali kuna sehemu nimetaja rais, usitake kuongozwa kwa mihemko
 
Kama umefikia hatua ya kumkosoa muumba wako na kujihisi uko sahihi ujue kuna hitilafu kubwa ktk ubongo wako. Kwahiyo hata mawazo yako yanakuwa yakipumbavu tu.
Kwani kulitaja sana jina la mungu, bila kuliishi ndio ucha mungu?!! Na kibaya zaidi waafrika licha ya maovu yetu mengi ndio tunajifanya kumjua sana mungu!!! Ndio maana hata sasa wahuni wengi wameshawasoma akili zenu wanajiingiza kwenye dini, kwa kuanzisha makanisa, na kuwanufaisha wao!! Kisa wanalitaja sana jina la mungu!!!
 
Ugomvi wa kidini upi? Mimi nakataa panapokuwa na watu wanajifanya kumuona kiongozi kama mungu mtu?!! Wakati ni binadamu kama wengine?!! Yule RC, aliyesema kuwa mungu anatakiwa ampongeze kiongozi? Na yule aliyesema kuwa anamfananisha na yesu?! Acha unafiki huo!! Kujifanya mnamjua sana mungu,ktk mchango wangu wa awali kuna sehemu nimetaja rais, usitake kuongozwa kwa mihemko
Mimi ni Mkristu. Katika dini yangu tunaamini Yesu ni Mungu aliyejifanya mtu kwa madhumuni maalumu. Ndiyo maana uliposema watu wengine wanaabudu binadamu mwenzao kama Mungu niliudhika kwamba unaleta mambo ya kidini nje na mada inayokuwa mezani. Sina habari na nini kilisemwa sijui na RC gani.
 
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa kati wa juu zaidi. Sina sababu ya kuyaeleza yote aliyoyafanya kwa Taifa na hata kwa Chama Cha Mapinduzi katika kipindi kifupi cha miaka 5.

Mafanikio ni makubwa kwa sekta za afya, elimu,miundo mbinu ya barabara,bandari, mawasiliano, viwanda, maji, madini,reli,nidhamu, rushwa, uwajibikaji. Tulitaka Rais wa namna yake.

Tunaomba mturejee huku kwingine tutamalizana nao. Tunawatakia Mkutano Mkuu mwema na Mungu awatangulia kwa yote yaliyo mema.
Kama ameshindwa miaka 5 vipi ataweza tena 5 yrs again? Hali keshaibomoa misingi ya uchumi
 
Mkutano Mkuu wa CCM unakutana hivi karibuni kumchagua mwana CCM wa kupeperusha bendera ya chama kwenye nafasi ya Urais wa Jamhuri wa Tanzania,msifanye makosa turudishieni JPM Ili akamilishe kazi aliyoibakiza kwenye ilani 2015-2025 na kuanzisha miradi mipya ili kuongeza kasi ya kwenda uchumi wa kati wa juu zaidi. Sina sababu ya kuyaeleza yote aliyoyafanya kwa Taifa na hata kwa Chama Cha Mapinduzi katika kipindi kifupi cha miaka 5.

Mafanikio ni makubwa kwa sekta za afya, elimu,miundo mbinu ya barabara,bandari, mawasiliano, viwanda, maji, madini,reli,nidhamu, rushwa, uwajibikaji. Tulitaka Rais wa namna yake.

Tunaomba mturejee huku kwingine tutamalizana nao. Tunawatakia Mkutano Mkuu mwema na Mungu awatangulia kwa yote yaliyo mema.
Kama ameshindwa miaka 5 vipi ataweza tena 5 yrs again? Hali keshaibomoa misingi ya uchumi
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.

Thus utupa viongozi wabovu,case study ya viongozi wabovu ipo afrika.
 
Ndiooo!! Kutokana na roho zetu za kichawi kichawi tu!!! Mtu yupo tayari kuona roho za watu zinapotea, yeye anashabikia kisa mfumo unaotesa wengine ananufaika nao!! Ndio maana unaona hata viingozi wa dini nao ni wale wale tu!!

Yeyeto anaenufaika na mfumo hawezi uponda mfumo, tofauti na wenzetu utanguliza Jamii kwanza,sisi ni sisi kwanza
 
Kuna kada wa ccm kaniambia kwamba mbele ya Anko Magu MTU anaweza hifadhi cobra kwenye boxer na akaendelea kuwa mtulivu huku akimwaga tabasamu na moyo ukivuja damu.
 
Kama umefikia hatua ya kumkosoa muumba wako na kujihisi uko sahihi ujue kuna hitilafu kubwa ktk ubongo wako. Kwahiyo hata mawazo yako yanakuwa yakipumbavu tu.
Kwani kulitaja sana jina la mungu, bila kuliishi ndio ucha mungu?!! Na kibaya zaidi waafrika licha ya maovu yetu mengi ndio tunajifanya kumjua sana mungu!!! Ndio maana hata sasa wahuni wengi wameshawasoma akili zenu wanajiingiza kwenye dini, kwa kuanzisha makanisa, na kuwanufaisha wao!! Kisa wanalitaja sana jina la mungu!!!
Yeyeto anaenufaika na mfumo hawezi uponda mfumo, tofauti na wenzetu utanguliza Jamii kwanza,sisi ni sisi kwanza
Halafu wanajifanya kuwatia watu ujinga!! Ndio uchawi wenyewe huo!! Wengi wanaumia halafu wao ndio wanajifanya na uchungu sana, na kumjua mungu kumbe, ni mashetani!!
 
Mkutano wa nini wakati mgombea mmoja? yaani ni utemi utemi undava undava - aisee ndani ya CCM bila uvumilivu, kujipendekeza na nidhamu ya woga huwezi ku-survive.hii
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.
ngozi nyeusi lazima ina chembechembe za laana - kuna kitu itakuwa tulimkosea Muumba wetu...haiwezekani karne hii ati tuishi kama wanyama wa mwitu....
 
Nilichogundua utofauti wa akili ya mtu mweusi, na mzungu ni kitu cha muhimu ambacho kinaamua hatima ya maisha yake, kukishabikia kama vile anashabikia mpira, au bonanza!! Na kutumia nguvu nyingi kuaminisha watu mambo ambayo ni hisia!! Mungu alikosea sana kuumba kiumbe mweusi!! Kutokana na matendo yetu.

Capture.JPG
 
ngozi nyeusi lazima ina chembechembe za laana - kuna kitu itakuwa tulimkosea Muumba wetu...haiwezekani karne hii ati tuishi kama wanyama wa mwitu....
Huo ndio ukweli!! Halafu tunajifanya watakatifu,
 
Back
Top Bottom