Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama cha Mapinduzi Dodoma 2025 kutoa muelekeo wa Taifa!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717

Mkutano mkuu maalumu wa CCM ni tukio adimu na huweza kuchukua miaka mitano.

Mara zote Mkutano mkuu wa CCM hutumika kuweka mustakabali wa Chama cha mapinduzi,vyama vya upinzani,Serikali na mwenendo wa siasa nchini.

Tujiandae kupitia media zote,mitandao ya kijamii na kuna baadhi ya maeneo yatatumia zoom meeting kujiunga.

KIDUMU CHAMA TAWALA!
 
Kuna nn kinaendelea huko?
 
Huo ujinga Kuna mwana wa Adam anaufatilia kweli
Camera zote zimeshatua Dodoma.
Sio podcasts na tiktok au rednini sijui.
Tunaongelea official broadcasting.
nchi sio ya wahuni hii
 
Wajumbe wametamalaki hapa dodoma
 
Wajumbe wa chama na wabunge wake wote wana furaha isiyo kifani kwani machangudoa wote wa bongo movie na bongo fleva wako hapa Dom kujirusha na kulana bila kinga kupeana maradhi. Just imagine, changudoa na mabwabwa ya tasnia ya bongo movie wanalipiwa na serikali kuja hapa kulana kwa mgongo wetu sie wafanya biashara na wananchi wa kawaida, it hurts!
 

THE NATION DECISION MAKERS!!
 

Majaliwa Kassim Majaliwa -The PM
 

Mhe.Mwinyi ameiamsha Zanzibar!!
 
Tunaenda kusikia utekelezaji wa Ilani kwa asilimia 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…