Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia uongo ameacha?Haya ni maoni ya viongozi wenu waongo kama alivyosema Lema
Wote hawa ni wachawi tu, hamna lolote hapa.Ukienda tofauti nao wanakuua.View attachment 3204807
Mkutano mkuu maalumu wa CCM ni tukio adimu na huweza kuchukua miaka mitano.
Mara zote Mkutano mkuu wa CCM hutumika kuweka mustakabali wa Chama cha mapinduzi,vyama vya upinzani,Serikali na mwenendo wa siasa nchini.
Tujiandae kupitia media zote,mitandao ya kijamii na kuna baadhi ya maeneo yatatumia zoom meeting kujiunga.
KIDUMU CHAMA TAWALA!
Duuu KUMBE TAIFA halikuwa na mwelekeo!!! 🤣🤣🤣😅😅😅🤔🤔🚴🚴View attachment 3204807
Mkutano mkuu maalumu wa CCM ni tukio adimu na huweza kuchukua miaka mitano.
Mara zote Mkutano mkuu wa CCM hutumika kuweka mustakabali wa Chama cha mapinduzi,vyama vya upinzani,Serikali na mwenendo wa siasa nchini.
Tujiandae kupitia media zote,mitandao ya kijamii na kuna baadhi ya maeneo yatatumia zoom meeting kujiunga.
KIDUMU CHAMA TAWALA!
Muongo ni huyu aliyeomba ripoti ya mauaji tangu mwaka jana mwezi wa 9 na hakuna utekelezaji.Uongo upo huko CDM na Lema amesema wazi
Kumbe kuna mkutano wa CCM? Ndo najua leo!View attachment 3204807
Mkutano mkuu maalumu wa CCM ni tukio adimu na huweza kuchukua miaka mitano.
Mara zote Mkutano mkuu wa CCM hutumika kuweka mustakabali wa Chama cha mapinduzi,vyama vya upinzani,Serikali na mwenendo wa siasa nchini.
Tujiandae kupitia media zote,mitandao ya kijamii na kuna baadhi ya maeneo yatatumia zoom meeting kujiunga.
KIDUMU CHAMA TAWALA!
Mnajuana na mtasemanaMuongo ni huyu aliyeomba ripoti ya mauaji tangu mwaka jana mwezi wa 9 na hakuna utekelezaji.View attachment 3204938
Jibu swali muongo hapo ni nani?Mnajuana na mtasemana
Hakuna Lolote Wamekuja Kuambukizana MarburgKuna nn kinaendelea huko?
Kamtaja nani na uongo wa Lema ni upi mbona hueleweki mjinga wao?Lema kawatajia muongo wenu halisi na Muongo Inderict
Kwahiyo wewe ni great thinker mjinga wao?Ukiwa great thinker ndio utanielewa