Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama cha Mapinduzi Dodoma 2025 kutoa muelekeo wa Taifa!

Mwelekeo wa kula kwa urefu wa kamba , kuteka , mauaji, wizi wa kura ndio ulimaanisha?
 
Wote hawa ni wachawi tu, hamna lolote hapa.Ukienda tofauti nao wanakuua.
 
Duuu KUMBE TAIFA halikuwa na mwelekeo!!! 🤣🤣🤣😅😅😅🤔🤔🚴🚴
 
Mkutano umepooza! Yaani ungechangamka kama hata warithi wa kinana wangechukia hata fomu wanadi sera yaani kimyaa kama wanasubiri teuzi
 
Kumbe kuna mkutano wa CCM? Ndo najua leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…