Mkutano mkuu wa Chadema ufanyike Ukumbi wa Polisi Kilwa road Kwa sababu za kiusalama. Pale Mlimani City kuna vitega Uchumi vurugu ni hatari!

Mkutano mkuu wa Chadema ufanyike Ukumbi wa Polisi Kilwa road Kwa sababu za kiusalama. Pale Mlimani City kuna vitega Uchumi vurugu ni hatari!

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu

Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa

Hatuna Bima ya Vurugu

Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Kwani kazi ya jeshi la polisi ni nini.
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu

Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa

Hatuna Bima ya Vurugu

Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
1737353866418.png
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu

Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa

Hatuna Bima ya Vurugu

Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
vita vya panzi kufanyika katika ukumbi mlimani City kesho 🐒
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila zingatia ushauri huu

Mlimani City ni eneo la Uwekezaji hivyo kufanya Mikutano ya Kisiasa yenye viashiria Vya vurugu na umwagaji Damu siyo Sawa

Hatuna Bima ya Vurugu

Mwagito Chalamila utanishukuru baadae 🐼
Acha mambo yako unakuja kuvuruga wewe?
 
Hivi nyie huwa hamna kumbi zenu mpaka mtangetange hivyo?
 
Kabisa itakuwa sawa sana, minitakuwa hapa Masai club, ama kilwa road pub napata Moja baridi Moja moto wakati nasubiria matokeo.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Wala usijali team maropo tutawadhibiti.
 
Mbowe amekodi kampuni binafsi ya ulinzi ili kuongeza usalama, msiwe na wasi wasi 🐼
1000020951.jpg
 
Back
Top Bottom