Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndio habari ya nchi kwa sasa, na ndio maana kila pande ya Tanzania inausubirikwa hamu mkutano huu

Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndio habari ya nchi kwa sasa, na ndio maana kila pande ya Tanzania inausubirikwa hamu mkutano huu

Tume ni hurub mkuu na haki ndio maana upinzani mkishindwa hamuendagi mahakamani, mnaishia kulalamika mitandaoni tu!
Tume ya Mchengerwa ya ushindi wa 99% au mnatuona Watanzania ni wajinga sana?
 
Mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ndio habari ya nchi kwa sasa, na ndio maana kila pande ya Tanzania inausubirikwa hamu mkutano huu.

Kila pande ya Tanzania macho na masikio yao yatakuwa jijini Dodoma, Ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete.

#kaziiendelee
#tunaendeleanamama
#MkutanowaCCM2025
Habari ya nchi ni uchaguzi wa chama dume Chadema huo upuuzi wa mbogamboga watu hawana muda nao kwani ni maigizo tu ya kipumbavu.
 
Back
Top Bottom