Bob Kawari
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 1,231
- 1,621
Vyura FC tuachieni simba yetu nendeni mkashone yeboyebo zenu jang'waniKwa nini Simba?Si ana pesa akaanzishe timu yake?
Kuna siku yatatokea maafa pale uwanjani,kwa sababu MO hawezi kukataa B5 ili simba ifungwe na yanga bao 6,itakuaje na time tumempa bure?
Serikali iingilie kati suala hili no bora awe Rais wa timu atumue nembo tu
Kwa miaka yote hyo hao wanachama wameifanyia nini simba?? Wabaki tu mashabiki wawachie watu wenye weledi na pesa waiongoze simba,mpira wa sasa nipesa kama unataka kufanikiwaSijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungetoa ushauri huu mapema kabla ya hili kutokea ingekuwa poa lakini umechelewa basi tena!Boss, naunga mkono hoja kwamba timu iendeshwe kisasa kibiashara, nisichokielewa ni kwamba, imekuwaje MO anapatiwa on silver plate, nilitegemea ifanywe tathmin (valuation) ijulikane Simba ina thamani gani, utengenezwe mchakato wa wazi wa kuuza hisa, tuwakaribishe wawekezaji ,
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] ...[emoji106]Amka wewe povu la nini sasa? Hiyo miaka mingi ya ushabiki wako kuna faida gani mmeleta we na wenzako? Tunataka mabadiliko na washabiki wa aina yako hatutaki kuwaona yaani hamtakiwi hata na mfumo wenyewe. Nenda singida unt huko.
Safi sana kluger mtu anatokwa povu hata elfu 5 hajawahi kutoa simbaAmka wewe povu la nini sasa? Hiyo miaka mingi ya ushabiki wako kuna faida gani mmeleta we na wenzako? Tunataka mabadiliko na washabiki wa aina yako hatutaki kuwaona yaani hamtakiwi hata na mfumo wenyewe. Nenda singida unt huko.
Hakupewa mamlaka kamili ya umiliki wa timu kama niliyokutajia hapo juu!Mo ni mpya pale Simba?!!!!!!
Kwa nini Simba?Si ana pesa akaanzishe timu yake?
Kuna siku yatatokea maafa pale uwanjani,kwa sababu MO hawezi kukataa B5 ili simba ifungwe na yanga bao 6,itakuaje na timu tumempa bure?
Serikali iingilie kati suala hili ni bora awe Rais wa timu atumie nembo tu
Kama mtu alianzisha timu yake baadae akaikimbia itakuwaje kwa simba ambayo kila wakati watu watakuwa wanamkosoa? Hapa kilichoko wazi,Dewji ataikimbia timu mwenyewe na kutakuwa na kesi kila siku mahakamani.Tusubiri ili tuone,astala vista Simba.MO ni mfanyabiashara, anaweza kutufanyia kama alivyoifanya African Lyon vile vile! ingependeza kama mchakato ungekuwa wazi tukapata several bidders tuka chagua the best evaluated bidder, labda tungepata matumaini,
MO akiona Simba haimuletei returns alizotegemea anaiweka Simba sokoni then pale Msimbazi anajenga petrol station ha ha ha!!!!Tatizo jingine ni kwamba Simba wanauza timu kwa bei iliyopangwa na mnunuzi, wao wenyewe hawajui thamani ya club na mali zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kashachukua team yake alitime Uongoz uliompnga ukiwa jela akachakachua. ..natabiri mgogoro apo kwa majiranSijawahi kumwona mhindi akiendesha biashara yake Kwa hasara..... Simba ndo baibai... Nilikuwa nashangaa sana huu usajili hela inatoka wp? Ndo basi tena....Wanachama hamna sauti tena ndani ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
MO hela anayo wala wala haitaji pesa kutoka simba yeye anafanya mapenzi tu miradi aliyonayo inatosha kuletea faida na kuiendesha simba kama AzamMO akiona Simba haimuletei returns alizotegemea anaiweka Simba sokoni then pale Msimbazi anajenga petrol station ha ha ha!!!!
MO hela anayo wala wala haitaji pesa kutoka simba yeye anafanya mapenzi tu miradi aliyonayo inatosha kuletea faida na kuiendesha simba kama AzamMO akiona Simba haimuletei returns alizotegemea anaiweka Simba sokoni then pale Msimbazi anajenga petrol station ha ha ha!!!!
MO hela anayo wala wala haitaji pesa kutoka simba yeye anafanya mapenzi tu miradi aliyonayo inatosha kuletea faida na kuiendesha simba kama AzamMO akiona Simba haimuletei returns alizotegemea anaiweka Simba sokoni then pale Msimbazi anajenga petrol station ha ha ha!!!!