Mkutano uliofanyika Dar es salaam tarehe 08.02.2025 na kutoa maazimio ya juu ya mgogoro wa DRC na M23 ni bure na kupoteza muda pamoja na fedha

Mkutano uliofanyika Dar es salaam tarehe 08.02.2025 na kutoa maazimio ya juu ya mgogoro wa DRC na M23 ni bure na kupoteza muda pamoja na fedha

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika

Soma:Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC
 
Bora hawakutufungia barabara zetu Jijini.
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika
Hivi kati ya wale Viongozi wa nchi waliohudhuria mkutano huo, Je, nani pale nchini mwake hana kabisa makandokando ya kuwepo kwa Mgogoro kama huo wa huko Kivu DRC? Nani hasa pale ni msafi kiasi kwamba anaweza kuwa na uthubutu wa kuweza kumkemea Rais Paul Kagame wa Rwanda kwa yale anayotuhumiwa kuyatenda kule DRC?
Karibia maRais wote kabisa waliohudhuria mkutano huu kila mmoja ana majanga yake kwenye nchi yake.

Kimsingi, Watu wote kabisa ambao wapo kwenye hiyo Kamati ya Usuluhishi wa Mgogoro huo wa huko Goma DRC hawana uhalali wowote ule wa kuweza kutatua Mgogoro huo. Kwa kifupi ni kwamba hakuna hata Mtu mmoja kwenye hiyo Timu ya Usuluhishi iliyokutana huko Dsm Tanzania ambaye mwenye nguvu ya ushawishi ya kuweza kusitisha Mgogoro huo, they do not have a moral authority ya kuweza kutatua tatizo hili. Kila mmoja ambaye yupo kwenye Kamati hiyo nchini mwake ana makandokando yake ya kuwepo kwa migogoro sawa na hiyo iliyopo huko Goma na Bukavu, DRC.

Doctrine of equity states that "he who goes for equity must go with clean hands."

Kati ya hao Viongozi waliohudhuria huko Dsm kwenye mkutano huo wa utatuzi wa Mgogoro huo, Je, nani ana mikono misafi?
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika
Chukua hii, ukiona mkutano wowote unahusisha mdau wa CCM mwenye mamlaka basi usiuchukulie serious.
 
Huu mkutano umehalalisha waas kumega Kipande cha nchi yoyote na kugawa nchi
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika
Usisahau walisaini makubaliano UN kabla ya kuanzisha vikundi vyao..Conditions zote mama zikogoverned by UN...huwezi kujiamulia kupeleka jeshi kupigana, wanaweza Russia ,Israel .Only Giants can make their decisions accordingly
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika

View: https://www.instagram.com/p/DF0r4baAgLm/?igsh=OTI1NmZ3d3ZhaG8y
 
M23 ni banyamulenge pamoja na mjumuisho wa baadhi ya makundi mengine yenye silaha. vita hii ni ngumu Kwa sababu unapigana waasi, ambao pia ni raia wa Congo. Vita vilivyo piganwa miaka ya nyuma hao M23, walipo ona wamezidiwa walijichanganya na raia, wengine walikimbilia misituni, wengine walijificha machimboni wengine walitolokea rwanda. Wanasubiri mambo yakitulia wanajikusanya wanaanzisha Tena vita. kwaiyo iyo vita kuimqliza ni wacongo wenyewe na si vinginevyo. Labda sisi wengine tuingie kwenye msaada tu.
 
Tatizo kubwa nimeliona pale ambapo viongozi wanamuogopa Paul Kagame. Kwahiyo wanagusa juu juu tu wanashindwa kwenda direct.

Nathubutu kusema kuwa kilichofanyika tarehe 08 ni kama mchezo wa rede tu ambao hauna mshindi.
Rais mmoja alipaswa kusema niko tayari kuingiza jeshi langu Kivu au Goma kama waasi wa m23 wataendelea kuonekana maeneo hayo.

Au lingetoka azimio la pamoja kuwataka waasi waondoke ndani ya masaa 24 vinginevyo viongozi wa nchi zote za SADC na EAC zi deploy makomando Kivu.

Kwa hali hii Kagame atatutawala sana EAST AFRICA na Afrika

Soma:Mkutano wa SADC na EAC waazimia kuondoa vikosi vya kigeni visivyoalikwa katika ardhi ya DRC
Kwa mfano unaingiza jeshi Congo pale weeh pale utanufaika nini?..Kagame ana manufaa napo mbn vitu simpo tuu kuelewa..Congo yenyw inashndwa kujilinda kwa ukabila uliogubika
 
Kwanini baadhi ya comment humu zinataka Congo apelekewe jeshi kumsaidia ilhali wana jeshi na nchi kubwa yenye rasilimali nyingi?.

Miaka yote wameshindwa nini kujenga jeshi madhubuti na kulinda nchi yao hasa mashariki mwa Congo?
Haya ndo mambo Trump hataki kusaidia watu daily mpaka wanakua mazezeta wakubwa.
DRC is a failed state.

Utawala uliopo huko upo dhaifu Sana.
Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo pia lipo dhaifu Sana kupita kiasi.

Jeshi la DRC lipo uchi wa mnyama kwa Utawala wa Rwanda.
Kuna uasi wa chini chini usiokwisha ndani ya Jeshi la DRC.

Wanajeshi wengi sana wa DRC pia ni Wapiganaji wa Siri wa M23.

Viongozi wengi wa Serikali ya DRC pia ni Mawakala wa Siri wa Utawala wa Rwanda na Vikosi vya Waasi wa M23.

Try to imagine: General Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi hiyo ya DRC, lakini baadaye Mwanajeshi huyo alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi ya Rwanda.

Wewe uliwahi kuona wapi jambo la namna hii?
 
DRC is a failed state.

Utawala uliopo huko upo dhaifu Sana.
Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo pia lipo dhaifu Sana kupita kiasi.

Jeshi la DRC lipo uchi wa mnyama kwa Utawala wa Rwanda.
Kuna uasi wa chini chini usiokwisha ndani ya Jeshi la DRC.

Wanajeshi wengi sana wa DRC pia ni Wapiganaji wa Siri wa M23.

Viongozi wengi wa Serikali ya DRC pia ni Mawakala wa Siri wa Utawala wa Rwanda na Vikosi vya Waasi wa M23.

Try to imagine: General Kabarebe aliwahi kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi hiyo ya DRC, lakini baadaye Mwanajeshi huyo alihama nchi na kwenda kuwa Mkuu wa Majeshi (CDF) wa nchi ya Rwanda.

Wewe uliwahi kuona wapi jambo la namna hii?
Kongo wanatia huruma.
Wakubali tu kuunganisha nchi pamoja na Rwanda.
Maana kila mkakati watakaoupanga Rwanda wameshajua .
Yawezekana vyombo vya mawasiliano vyote vya serikali ya DRC Rwanda wanavizoom 24/7
 
Back
Top Bottom