Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Arusha tunatia aibu kubwa sn pale hakuna stand ni aibu tupuMimi kwa mfano mbunge wangu kashindwa tu hata kujenga stendi ya mabasi pale arusha mjini.
Nitakuwa na furaha nikisikia kuna vikao vya Bunge??
Jibu ni hapana.