Mkutano wa CCM Dodoma ni Uthibitisho kuwa CCM ni Chama cha Mafisadi!

Mkutano wa CCM Dodoma ni Uthibitisho kuwa CCM ni Chama cha Mafisadi!

Ah!! Nina Hasira sana na Hiki Chama cha Mafisafi

Enzi za baba wa Taifa watu wengi walikuwa na uzalendo hasa ukichukulia kuwa kuingia kwenye chama ni mpaka uanzie mbali. Nakumbuka Sekondary tulikuwa tunajiunga na UVCCM as a pre-stage to being a full CCM member.

Sasa hivi chama kimevamiwa na wachumia matumbo yao hajuna tena uzalendo. Ni mpaka pale itakapoacha kukumbatia wafanya biashara CCM kitaendelea kuwa chama cha kifisadi

Tanzania! x2. nakupenda kwa moyo wote!

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=6CkQMTyjpAo[/ame]
 
.
Lets be realistic, tuwe wakweli jamani, haiwezekani CCM wakawa wachafu wote, hata Sodoma na Gomora alikuwepo Lutu, ndivyo vivye kwenye CCM, pamoja na kutiwa mkononi na mafisadi na kazi yake ni kuwasikiliza hao, miongoni mwao, wapo baadhi ambao ni safi, sio lazima kutaja majina, mmoja wa wasafi hawa ni kijana mdogo Nape na wengine wengi wapo.

Pasco...u r killing me! Sodoma na Gomora ilipomalizwa, Lutu si aliokolewa? Meaning alitolewa huko. Hao wasafi unaowataja:
1. Wamekulia huko na pesa za kifisadi!
2. hawaoni maovu ya huko au wanasubiri nani aje kuwaokoa? Ibrahim?hahaha
3. This leads me to question their true motives...yaani:
a) Je wanataka kweli kuokoa taifa?; au
b) Wanataka na wao wawe somebody, ilimradi wamekuwa a somebody Katika historia ya nchi?

Kama kweli wewe ni msafi, i strongly believe utaondoka CCM. Kama wewe sio mvuta bangi, utaenda kukaa kijiweni na wezi na wavuta bangi kweli? Si utaenda kutafuta njia yako mwenyewe?...
Pasco, kama mtu msafi yupo ndani ya CCM, basi yeye ni MPUMBAVU. Kumbuka mpumbavu ni zaidi ya mjinga. At least mjinga anaweza kuelimishwa. Lakini mpumbavu ni mtu anayejua facts lakini anashindwa kutambua afanye nini!!

CCM = Chama Cha Mpumbavu
 
Pasco, Mkuu wangu wla usingesema ni chama cha Mafisadi..Kifupi inachekesha sana kuona ngome kuu za chama CCM wanazungumzia vitu hivi. yaani mbele ya Mwinyi, Pius Msekwa na Kinana, lugha zinazotumika pale ni uswahili mtupu...kumbe hawa watu tunawaona majukwaani akili zao hafifu kiasi hicho! damn....Now I know why tumeshindwa kwa miaka 47 ya Uhuru.
 
Pasco...u r killing me! Sodoma na Gomora ilipomalizwa, Lutu si aliokolewa? Meaning alitolewa huko. Hao wasafi unaowataja:
1. Wamekulia huko na pesa za kifisadi!
2. hawaoni maovu ya huko au wanasubiri nani aje kuwaokoa? Ibrahim?hahaha
3. This leads me to question their true motives...yaani:
a) Je wanataka kweli kuokoa taifa?; au
b) Wanataka na wao wawe somebody, ilimradi wamekuwa a somebody Katika historia ya nchi?

Kama kweli wewe ni msafi, i strongly believe utaondoka CCM. Kama wewe sio mvuta bangi, utaenda kukaa kijiweni na wezi na wavuta bangi kweli? Si utaenda kutafuta njia yako mwenyewe?...
Pasco, kama mtu msafi yupo ndani ya CCM, basi yeye ni MPUMBAVU.
CCM = Chama Cha Mpumbavu
1.Asante Mtoto, japo jina ni mtoto, mambo yako ni ya kikubwa, yaani ya kiutu uzima.
2. Kwenye generalization sio busara kutumia lugha kali za matukano yaani too ofensive kwa mfano wana CCM wote mafisadi, wachafu au Wapumbavu. Wale safi watajisikia ofended.
3.Kuna wana CCM wachache safi na wangependa kutoka CCM lakini hawana pa kwenda, hivyo wameamua bora zimwi likujualo.
4. Come 2010, li CCM hili hili, na uchafu wake, na mafisadi yake, bado we will vote them in again and again and again till the end of time unless there is any serious altenative.
 
Pasco, Mkuu wangu wla usingesema ni chama cha Mafisadi..Kifupi inachekesha sana kuona ngome kuu za chama CCM wanazungumzia vitu hivi. yaani mbele ya Mwinyi, Pius Msekwa na Kinana, lugha zinazotumika pale ni uswahili mtupu...kumbe hawa watu tunawaona majukwaani akili zao hafifu kiasi hicho! damn....Now I know why tumeshindwa kwa miaka 47 ya Uhuru.
.

Sasa ndugu yangu Mkandara, tukiiteje chama hiki?.

Tangu nimejoin JF last year nimekuwa nikiuliza kuhusu IQ ya mkulu from time to time, no one ever answered but you can figure out his words and deeds. Kinachotokea sasa ni uthibitisho not only has lost his command
(which he never had), but has lost his respect ndani ya chama chake ndio maana umezikisikia kila aina ya lugha za kiburi, dharau, kejeli na jeuri ya pesa because no one respects him anymore.
 
Pasco...u r killing me! Sodoma na Gomora ilipomalizwa, Lutu si aliokolewa? Meaning alitolewa huko. Hao wasafi unaowataja:
1. Wamekulia huko na pesa za kifisadi!
2. hawaoni maovu ya huko au wanasubiri nani aje kuwaokoa? Ibrahim?hahaha
3. This leads me to question their true motives...yaani:
a) Je wanataka kweli kuokoa taifa?; au
b) Wanataka na wao wawe somebody, ilimradi wamekuwa a somebody Katika historia ya nchi?

Kama kweli wewe ni msafi, i strongly believe utaondoka CCM. Kama wewe sio mvuta bangi, utaenda kukaa kijiweni na wezi na wavuta bangi kweli? Si utaenda kutafuta njia yako mwenyewe?...
Pasco, kama mtu msafi yupo ndani ya CCM, basi yeye ni MPUMBAVU. Kumbuka mpumbavu ni zaidi ya mjinga. At least mjinga anaweza kuelimishwa. Lakini mpumbavu ni mtu anayejua facts lakini anashindwa kutambua afanye nini!!
CCM = Chama Cha Mpumbavu


Jesus came on earth, and he ate and drunk with the sinners, but in the process, he managed to change many of them , and they finally became his followers!

What you say is just one approach to the solution, but the other one is to remain just inside there and do the necessary changes...isn`it?
 
1.Asante Mtoto, japo jina ni mtoto, mambo yako ni ya kikubwa, yaani ya kiutu uzima.
2. Kwenye generalization sio busara kutumia lugha kali za matukano yaani too ofensive kwa mfano wana CCM wote mafisadi, wachafu au Wapumbavu. Wale safi watajisikia ofended.
3.Kuna wana CCM wachache safi na wangependa kutoka CCM lakini hawana pa kwenda, hivyo wameamua bora zimwi likujualo.
4. Come 2010, li CCM hili hili, na uchafu wake, na mafisadi yake, bado we will vote them in again and again and again till the end of time unless there is any serious altenative.

hahaha...mh usiangalie pseudonym yangu ukadhani mimi ni ****! Tatizo la hapa JF watu wengi wanajifanya wajanja na wajuaji + maneno mengi, lakini utendaji 0!
Anyways...sorry for the strong language. Kwangu mimi nimeona ndo lugha inayofaa maana sasa kweli mimi nimechoka! Ivi tutazunguka mbuyu mpaka lini? Hao wasafi walioko ndani ya CCM HAWANA IMPACT YEYOTE. Kwa pesa inayoibiwa kila siku, huwezi kuniambia hao wasafi wanasubiri nafasi kuja kuokoa chama. Kama kwingine hakufai, ni nafuu ukae nje kabisa. Nadhani, nyie hamuoni au hamjaelewa (comprehend) wizi wa CCM na madeni inayoliingizia taifa! I wish you could see what i see. Pesa iliyoibiwa na inayoendelea kuibiwa ni nyingi MNO. Tumefika a stage mtu huwezi kuwa neutral na hali ya taifa letu. U r either with mafisadis au your not! Na kama hauko na mafisadi ONDOKA CCM. Facts za kutisha:
Miaka 50 ya Uhuru
1. Umeme ni 12% ya nchi, na hiyo bado ni kasumba
2. Maji safi ndo usiseme
3. Usafiri wa Reli umekufa
4. 12 Million people live under Tsh400 a day
5. Polisi wetu ni kichekesho
6. Viongozi (wabunge) wanalipwa beyond their productivity na tofauti na uwiano wa income ya wananchi
7. Posho mara mbili = ruksa
8. Takrima = ruksa

Sawa CCM watashinda urais 2010, lakini tuhakikishe tunawabana katika bunge. If this continues, sitahofia kuingia msituni!

Unaweza kuniambia ni nini CCM imeweza kufanya kwa wananchi? Ndo maana nimesema, kama upo CCM na huoni haya...wewe sio mjinga, bali ni MPUMBAVU! There is no way to help!!
 
Jesus came on earth, and he ate and drunk with the sinners, but in the process, he managed to change many of them , and they finally became his followers!

What you say is just one approach to the solution, but the other one is to remain just inside there and do the necessary changes...isn`it?

Jamani, tusijifananishe na Yesu. Yesu alikuja kuokoa. Na kwa sasa tupo katika a grace period. Akija tena, ndo imetoka. There is no second chance baada ya hapo. Miaka 50 ya Uhuru kweli tumefanya nini? Kusema kweli, hatuwezi ku-blame mtu mwingine yeyote kwa matatizo yetu. Matatizo yapo kwetu wenyewe. CCM imeshindwa kutuletea mabadiliko. Na as siasi works, if u fail, u step down. Sasa wenzangu mpaka wanaiba kura! Yani wamekuwa kama kunguni - hata vipi, hataki kutoka! Grace pediod for CCM is OVER! Sisi hatuko hapa kuokoa Chama, bali Taifa. Na imefika muda wa kuokoa Taifa. Adui wa Taifa si Ujinga, Umaskini na Magonjwa tena, bali ni CCM.
 
Unaweza kuniambia ni nini CCM imeweza kufanya kwa wananchi? Ndo maana nimesema, kama upo CCM na huoni haya...wewe sio mjinga, bali ni MPUMBAVU! There is no way to help!!
.
They did what they did ndio maana tuko hapa leo. Sometimes its better a devil you know than you don't know in an event where there is no altenative.
 
.
They did what they did ndio maana tuko hapa leo. Sometimes its better a devil you know than you don't know in an event where there is no altenative.

Kwani ukimchagua huyo mwingine ndo mwisho! Si Chaguzi ziendelea kuja tena na tena! How can u say there is no alternative?
 
Back
Top Bottom