pretaaaaaaaaaa picha ko kali kama unafanana na mkwere preta,akikuona lazima aombe mtoko
pretaaaaaaaaaaaaaaa unamvuto kama slaa,kudadeki weka namba yako ya simu hapa preta tukutafute next wikendkama ana sera....lakini kama sera zake ndio hizi hizi ninazozisikia......no mtoko kwa kweli
pretaaaaaaaaaaaaaaa unamvuto kama slaa,kudadeki weka namba yako ya simu hapa preta tukutafute next wikend
am soree....niko kiuchaguzi zaidi.....imebaki wiki moja tumuapishe rais slaa.....nipo kwenye kamati ya upambaji jukwaa.....tukutane kwenye sherehe
hee hata mtaani kwetu leo diwani alikuwa anafanya kampeni...waliokuwepo ni watoto na wakati CCM wanaondoka,hao watoto wakawa wanakimbiza gari ikabidi diwani awaambie watoto rudini nyumbani mpaka kesho tena....kweli ni vituko
pretaaaaaaaaaaaaaaa unamvuto kama slaa,kudadeki weka namba yako ya simu hapa preta tukutafute next wikend
wote wamevalishwa nguo za chama tawala na kofia.