kalacha mateo
Senior Member
- Sep 27, 2021
- 119
- 240
Masikio yako yanasikia vizuri kweli?CHADEMA leo imeanza mikutano yake ya hadhara jijini Mwanza. Miongoni mwa viongozi waliopewa nafasi kuzungumza ni Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu ameomba mwenyekiti wa chama hiko apeleke hoja kwa Mhe. Rais Samia Suluhu kuwa waliokamata kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru waendelee na kazi zao CHADEMA.
View attachment 2490277
Ajielezee vizuri, kuna kesi za kisiasa na kesi zingine za kuiba kupola kunyang’anya kubaka nk
Kwanni madawa ya kulevya? Kuna nini ktk madawa...
alipatikana na kesi ya kujibu..kuna kiongozi wa Cdm amebambikiwa kesi ya uongo ya madawa ya kulevya.
..hata Mbowe alibambikiwa kesi ya uongo ya ugaidi.
alipatikana na kesi ya kujibu
alipatikana na kesi ya kujibu
Mh😷😷😷😷CHADEMA leo imeanza mikutano yake ya hadhara jijini Mwanza. Miongoni mwa viongozi waliopewa nafasi kuzungumza ni Mwenyekiti wa BAVICHA, John Pambalu ameomba mwenyekiti wa chama hiko apeleke hoja kwa Mhe. Rais Samia Suluhu kuwa waliokamata kwa kesi za kuuza madawa ya kulevya waachiwe huru waendelee na kazi zao CHADEMA.
View attachment 2490277
Kapagawa au kaamua tu makusudi
Hao hao ndo wanataka katiba mpya? China ukikamatwa unanyongwa. Huku waachiwe? Bora angesema haki itendeke kuliko kusema waachiwe! Ebo! Chadema hawaoni madawa yanavyoleta athari kwa Taifa letu? Kwahiyo wakipewa ridhaa ya kuongoza serikali watafungilia wauza unga wote waliowekwa ndani? Makubwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
alipatikana na kesi ya kujibu
Ajielezee vizuri, kuna kesi za kisiasa na kesi zingine za kuiba kupola kunyang’anya kubaka nk
Kwanni madawa ya kulevya? Kuna nini ktk madawa...
Wanaingilia mahakama?
Anaitetea biashara ya SACCOS ,mapema sana kwa CHADEMA kuchukua upande huu