Mkutano wa CPA toka ndani ya AICC

Mkutano wa CPA toka ndani ya AICC

Suti, suti and more suti au batiki, vitenge and khanga..Pasco na JackieJock tujuzeni basi.
 
Na hapa tunataka tufanane na Wamerekani, Wa Ulaya, haiwezekani, wao wameanza kujua muda siku nyingi sana. Haya ya kuchelewa ni matumizi mabaya ya rasilimali.
 
Kama washauri mkuu wa kaya ni waganga wa kienyeji, albino watapona kweli?
 
Kama washauri mkuu wa kaya ni waganga wa kienyeji, albino watapona kweli?

Sasa mnamlaumu kwa nini mambo yanapokwenda kombo? Kama mnafahamu kuwa hafuati ushauri wa kitaalam!! Mnatawaliwa kwa ushauri wa SANGOMA na bado miaka mingine mitano kwa udanganyika wenu.!!
 
Back
Top Bottom