Mkutano wa dharura waitishwa NEC, Makonda atatenguliwa rasmi Uenezi, Mwenyekiti alivunja Katiba ya chama kumwengua

Jaribu kujielimisha kwenye mambo madogo kama ili uongeze uelewa wako. Mifano ipo mingi ya watu wenye nafasi zaidi ya Moja na zote wanazifanya , anza na Naibu Waziri mkuu
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati vyote ni vyeo vya serikali
Mfano wako ni mbovu

Katibu wa CCM hawezi kuwa Mkuu wa Mkoa
Ndio maana leo NEC wanaenda kumwondoa

Tusijitoe ufahama kutetea kishabiki uozo wa kiutaratibu na kikatiba
 
MAKONDA NA SABAYA naona wote walifanana makosa nashangaa kuona huyu mwingine kala jela meingine kala teuzi.
Anaogopeka kwa lipi?
 
Mwenyekiti hajamtengua msemaji wa chama ila kamuongezea jukumu na sijaona pahali pameandikwa katenguliwa uenezi ila kateuliwa kuwa mkuu wa mkoa na wala sio kosa wala hajakiuka katiba msipotoshe
Kuhusu kofia mbili katiba inasemaje?
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati vyote ni vyeo vya serikali
Mfano wako ni mbovu

Katibu wa CCM hawezi kuwa Mkuu wa Mkoa
Ndio maana leo NEC wanaenda kumwondoa

Tusijitoe ufahama kutetea kishabiki uozo wa kiutaratibu na kikatiba
Mkuu wa mkoa ni mjumbe wa kamati ya CCM ya mkoa 🐼

Mwenezi anaweza Kuwa RC hakuna matata
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati vyote ni vyeo vya serikali
Mfano wako ni mbovu

Katibu wa CCM hawezi kuwa Mkuu wa Mkoa
Ndio maana leo NEC wanaenda kumwondoa

Tusijitoe ufahama kutetea kishabiki uozo wa kiutaratibu na kikatiba
Katiba ipi inamtambua Naibu waziri Mkuu?
Naomba kifungu.
 
hawezi kufanya kazi zote mbili, kwa hiyo NEC inalazimika kum replace,
kusema kwamba bado ni Mwenezi ni kujitoa ufahamu
Mwenyekiti ametumia mabavu kuidharau NEC
Wewe huna akili kichwani, Ramadhan Mapuri alikuwa ni waziri wa mambo ya ndani na Mwenezi wa Chama same time.

Usimprovoke Rais si mjinga kama wewe, ana vyombo anafanya navyo kazi na Mwenezi Mpya ameshaandaliwa.
 
Nikuulize swali; nini kinaanza kati ya kuapishwa URC na kikao cha Chama? Lazima tuheshimu taasisi ya Rais! Siyo kila kitu ujuaji tu. Pia, cheo ni dhamana ukiteuliwa na Mhe. Rais popote pale ni heshima kubwa sana.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Angekua JPM povu lingekua la kutosha ,hii nchi shida sana
JPM aligusa maslahi ya walamba asali, establishment. Hao ndio wanataka walambe keki ya nchi. Ukiwagusa wana kelele balaa

Tunahitaji mtu wa kuja kutubomolea mfumo, kuuvunja vinginevyo maisha yetu watanzania wengi yatakua ya hovyo sana.
 
Katiba ipi inamtambua Naibu waziri Mkuu?
Naomba kifungu.
Huko kote mbali, katiba ya CCM inatamka mwanachama Mpya akae miaka mitano ndio agombee nafasi kupitia CCM au chamani.

Sasa wale waliokuwa wananunuliwa upinzani Kesho wanateuliwa bila vikao wala Kura za maoni ilitumika katiba gani?
 
all is stupid, mbona wao wanavunja katiba ya nchi.
 
Lazima tuheshimu taasisi ya Rais!
Si lazima tuheshimu taasisi ya Rais. Hizo ni mentality za ki third world. Na ndo zinaturudisha nyuma. Viongozi wetu hawako accountable for anything they do. They are basking in impunity

Tunapaswa kumkosoa Rais!
 
Si lazima tuheshimu taasisi ya Rais. Hizo ni mentality za ki third world. Na ndo zinaturudisha nyuma. Viongozi wetu ni accountable. They are basking in impunity

Tunapaswa kumkosoa Rais!
Sawa, nakuelewa! Tumkosoea kwa fact basi! Sasa mtu anasemaje Mhe. Rais kavunja katiba ya Chama wakati taratibu zenyewe za Katiba zinaendelea? Kikao cha Chama kitaanza na kufuatia uapisho.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Kikao cha Chama kitaanza na kufuatia uapisho.πŸ™πŸ™πŸ™
Anhaaa, wanamtoa Uenezi halafu ndio wanamwapisha RC

Kama uetuzi wa u-RC hauna tatizo, kwa nini wanamtoa Uenezi ????
 
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati vyote ni vyeo vya serikali
Mfano wako ni mbovu

Katibu wa CCM hawezi kuwa Mkuu wa Mkoa
Ndio maana leo NEC wanaenda kumwondoa

Tusijitoe ufahama kutetea kishabiki uozo wa kiutaratibu na kikatiba
Mkuu,

Kwa kanuni ipi?

Mbona Mwenyekiti wa CCM ni Rais tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…