min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Majibu mepesi kama haya kwa hoja nzito kama hii ni msiba mzito sana aseeeš¤Yanakuhusu nini sasa fanya kazi ulipe kodi, au nenda Somalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu mepesi kama haya kwa hoja nzito kama hii ni msiba mzito sana aseeeš¤Yanakuhusu nini sasa fanya kazi ulipe kodi, au nenda Somalia
Wazururaji wajumbe šWajumbe au wazururaji!!
kumbe umekumbuka vya mkutano wa Rio wa Mazingira mwaka 1992? Enzi ile alikuwa Diria ndiyo kiongozi wa msafara.Historia inajirudia. Huko Brazil sijui kuna nini iliwahi tokea tena .
CCM inatuandalia Mgombea Urais Mwanaume 2025Unatumia pesa zako hovyo halafu unaenda kuomba mikopo na kufutiwa madeni. Huyu rais anatakiwa kupumzishwa haraka.
Jpm alikataa mikutano ya nje lakini huyu hajui pesa ya masikini inauma
matunda ya ushiriki wao ni zaidi ya unavyo fikiri nduguShida ni kwamba Wanatumia vibaya Kodi za watanzania
serikali imekua ikitoa afua katika hiyo sekta ndugu mapambano bado yanaendelea kila kukisha ondoa shaka kwa hiloHuwezi ona shida, unakula unashiba, mjinga wewe kuna watu dawa tu za panado ni shida kwao
Akili ndio ulinyimwagaYanakuhusu nini sasa fanya kazi ulipe kodi, au nenda Somalia
Wangeshiriki 10 key members matunda yangekuwa tofauti na wakishiri 100?matunda ya ushiriki wao ni zaidi ya unavyo fikiri ndugu
MkuuKwenye Mkutano wa G20 kule Brazil, Tanzania ndio inaaminika kuwa na ujumbe wa watu wengi sana pale, inazidi hata wenyeji wa huo mkutano, Tanzania imeambatana na ujumbe wa watu zaidi ya 100. Kumbuka sio mwanachama wa G20 bali kaalikwa kama zinavyo alikwaga Kenya au Rwanda au Ethiopia.
Ulaya mataifa mengi ya EU ujumbe wao ni watu takiribani 30 tu, na sabanu kubwa wanabana matumizi, nchi za ulaya ndizo zina aajumbe wachacge sana.
China ina wajumbe 50
India ina wajumbe 45 tu.
Indonesia ina wajumbe 60
Japani wajumbe 39
Korea wajumbe 27
Uingereza wajumbe 30
Marekani ina wajumbe 65.
South Africa Wajumbe 40
Nigeria ilienda na wajumbe 70
Australia ina wajumbe 35
Saud Arabia ina wajumbe 60
Tanzania ina ujumbe wa watu 100
Canada 40
Mexco 62
Brazili Mwenyeji ana wajumbe 90 kwenye huo mkutano.
Cha kushangaza kabisa Tanzania ina wajumbe wengi kuliko muanaadaji wa mkutano ho Brazili.
Na mafaifa mengi kikwazo kikubwa wanakuambia ni bajeti kubana matumizi kuto tumia hovyo pesa za walipa kodi. Tanzania huo msamiati kwa Mama hauopo.
Mnakumbuka ile ziara ya India, Mama alikuwa na wajumbe wengi kulilo wenyeji? yaani Wajumbe wa Tanzania walijaza Ukumbi kule India wakiwemo wasanii wakina Stive Nyerere.
Wengine ni waduudu wa nguoni na nyweleniTanzania ina ujumbe wa watu 100
Walikua wanatafuta record kama ile ya malandrova kule Arusha. Usikute na machawa akina Steve mengele walipewa shavu. Ćcm ni laana ya hili taifaKwenye Mkutano wa G20 kule Brazil, Tanzania ndio inaaminika kuwa na ujumbe wa watu wengi sana pale, inazidi hata wenyeji wa huo mkutano, Tanzania imeambatana na ujumbe wa watu zaidi ya 100. Kumbuka sio mwanachama wa G20 bali kaalikwa kama zinavyo alikwaga Kenya au Rwanda au Ethiopia.
Ulaya mataifa mengi ya EU ujumbe wao ni watu takiribani 30 tu, na sabanu kubwa wanabana matumizi, nchi za ulaya ndizo zina aajumbe wachacge sana.
China ina wajumbe 50
India ina wajumbe 45 tu.
Indonesia ina wajumbe 60
Japani wajumbe 39
Korea wajumbe 27
Uingereza wajumbe 30
Marekani ina wajumbe 65.
South Africa Wajumbe 40
Nigeria ilienda na wajumbe 70
Australia ina wajumbe 35
Saud Arabia ina wajumbe 60
Tanzania ina ujumbe wa watu 100
Canada 40
Mexco 62
Brazili Mwenyeji ana wajumbe 90 kwenye huo mkutano.
Cha kushangaza kabisa Tanzania ina wajumbe wengi kuliko muanaadaji wa mkutano ho Brazili.
Na mafaifa mengi kikwazo kikubwa wanakuambia ni bajeti kubana matumizi kuto tumia hovyo pesa za walipa kodi. Tanzania huo msamiati kwa Mama hauopo.
Mnakumbuka ile ziara ya India, Mama alikuwa na wajumbe wengi kulilo wenyeji? yaani Wajumbe wa Tanzania walijaza Ukumbi kule India wakiwemo wasanii wakina Stive Nyerere.
Tunataka wanaccm wote waende nchi za nje ili waone Tanzania tulivyoweza kuwa na treni ya SGR nzuri ya kisasa kuliko Ujerumani(kwa mujibu wa profesari Kabudi akiwa kanisani Musoma).Kwenye Mkutano wa G20 kule Brazil, Tanzania ndio inaaminika kuwa na ujumbe wa watu wengi sana pale, inazidi hata wenyeji wa huo mkutano, Tanzania imeambatana na ujumbe wa watu zaidi ya 100. Kumbuka sio mwanachama wa G20 bali kaalikwa kama zinavyo alikwaga Kenya au Rwanda au Ethiopia.
Ulaya mataifa mengi ya EU ujumbe wao ni watu takiribani 30 tu, na sabanu kubwa wanabana matumizi, nchi za ulaya ndizo zina aajumbe wachacge sana.
China ina wajumbe 50
India ina wajumbe 45 tu.
Indonesia ina wajumbe 60
Japani wajumbe 39
Korea wajumbe 27
Uingereza wajumbe 30
Marekani ina wajumbe 65.
South Africa Wajumbe 40
Nigeria ilienda na wajumbe 70
Australia ina wajumbe 35
Saud Arabia ina wajumbe 60
Tanzania ina ujumbe wa watu 100
Canada 40
Mexco 62
Brazili Mwenyeji ana wajumbe 90 kwenye huo mkutano.
Cha kushangaza kabisa Tanzania ina wajumbe wengi kuliko muanaadaji wa mkutano ho Brazili.
Na mafaifa mengi kikwazo kikubwa wanakuambia ni bajeti kubana matumizi kuto tumia hovyo pesa za walipa kodi. Tanzania huo msamiati kwa Mama hauopo.
Mnakumbuka ile ziara ya India, Mama alikuwa na wajumbe wengi kulilo wenyeji? yaani Wajumbe wa Tanzania walijaza Ukumbi kule India wakiwemo wasanii wakina Stive Nyerere.
Kukosa Dira ni janga sana. Watanzania hata hatuelewi tunataka nini. Wakati wa Utawala wa Mheshimiwa Kikwete watu walimdhihaki sana kuwa ni mzee wa disco anachekacheka hovyo na wabadhirifu. Wengi tukaenda mbali zaidi inatakiwa apatikane rais Dikteta na mwenye maamuzi magumu nchi ikae sawa.Unatumia pesa zako hovyo halafu unaenda kuomba mikopo na kufutiwa madeni. Huyu rais anatakiwa kupumzishwa haraka.
Jpm alikataa mikutano ya nje lakini huyu hajui pesa ya masikini inauma
Kwenye Mkutano wa G20 kule Brazil, Tanzania ndio inaaminika kuwa na ujumbe wa watu wengi sana pale, inazidi hata wenyeji wa huo mkutano, Tanzania imeambatana na ujumbe wa watu zaidi ya 100. Kumbuka sio mwanachama wa G20 bali kaalikwa kama zinavyo alikwaga Kenya au Rwanda au Ethiopia.
Ulaya mataifa mengi ya EU ujumbe wao ni watu takiribani 30 tu, na sabanu kubwa wanabana matumizi, nchi za ulaya ndizo zina aajumbe wachacge sana.
China ina wajumbe 50
India ina wajumbe 45 tu.
Indonesia ina wajumbe 60
Japani wajumbe 39
Korea wajumbe 27
Uingereza wajumbe 30
Marekani ina wajumbe 65.
South Africa Wajumbe 40
Nigeria ilienda na wajumbe 70
Australia ina wajumbe 35
Saud Arabia ina wajumbe 60
Tanzania ina ujumbe wa watu 100
Canada 40
Mexco 62
Brazili Mwenyeji ana wajumbe 90 kwenye huo mkutano.
Cha kushangaza kabisa Tanzania ina wajumbe wengi kuliko muanaadaji wa mkutano ho Brazili.
Na mafaifa mengi kikwazo kikubwa wanakuambia ni bajeti kubana matumizi kuto tumia hovyo pesa za walipa kodi. Tanzania huo msamiati kwa Mama hauopo.
Mnakumbuka ile ziara ya India, Mama alikuwa na wajumbe wengi kulilo wenyeji? yaani Wajumbe wa Tanzania walijaza Ukumbi kule India wakiwemo wasanii wakina Stive Nyerere.