Mkutano wa G20 ni Tanzania pekee imepeleka wajumbe wengi sana, watu 100+kuliko hata wajumbe wa Brazili mwenyeji

Mumekubali kuongozwa na mumiani CCM basi Muendelee kulipa kodi tu ili watawala waneemeke wao na familia zao. Mkataa pema pabaya panamuita, mumeipenda wenyewe wacha iwakaushe damu.
 
Pole sana. Unaumia mwenyewe....
 
Utakuta hapo wale ya yale mambo wamejichomeka πŸ˜„
Lazima waburuzeeee πŸ˜„

Ova
 
Ilifaa wawe wa wakilishi wa kisekta hata zaidi ya mia5 gentleman, na ingependeza zaidi katika kwenda kujifunza, kutumia fursa na kuchota na kuwavutia kila aina ya wawekezaji wa kisekta kuja kuwekeza Tanzania.

Hata hivyo,
kwa uchache huo bado umuhimu na faida kwa Taifa ni nyingi na kubwa mno πŸ’
 
timu ya kizmkazi kusafiri inakula pesa nyingi kuliko hata za maendeleo ya nchi, inafuta bajeti nyingi sana, kuna wizara nyingi tu malipo inasemekana yamegoma kwa sababu pesa hakuna, bibi anakula tu pesa. tunachowaomba, mkimalizana akaja rais mwingine hao mnaowatuma wawachotee pesa za kula msiwashitaki, muwakumbuke kuwa walitimiza tu maelekezo yenu. hakuna kipindi serikali inakula pesa kama hiki. kampuni zetu zinafanya kazi, malipo yake yanakwama, mna shida gani aisee?
 
Mwaka 1992, Wazanzibari Mwinyi na Diria walipeleka ujumbe wa watu 300 kutoka Tanzania kwenye The Rio Convention. 🀣🀣🀣​
 

Umekosea, Tanzania ndo mwenyeji, ndo maana ana wajumbe wengi.
 
Nchi inachekesha hii 😁😁😁 yaan matajiri wamepeleka watu wachache kuliko sisi wazee wa bakuli
 
Hizo nchi zinginr hazitaki kujifunza? katika watu 100 asilimua kubwa ni chawa
 
shida iko wapi kwani
Shida iko wazi.
Kuna uzi upo humu unasema kuwa Hospitali ya Taifa Muhimbili inatoza wagonjwa sh 50,000(kitanda) kwa siku.
Serikali ikifanikiwa kubana matumizi yake tozo za aina hiyo hazitakuwepo.
 
Mbaya zaidi Tanzania siyo mwanachama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…