Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nyomi lake si michezo, mnyang'anyi kaamua kwenda kupata ahuweni mbulu sio, baada ya uteuzi uliomchefua sana juzi dah ๐Chama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu
Mpiga picha anajaribu kuchuchumaa ili ionekane watu ni wengi mpaka mwisho hawaonekaniChama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu...
Ukipiga picha umechuchumaa figure zinaongezekaยฟMpiga picha anajaribu kuchuchumaa ili ionekane watu ni wengi mpaka mwisho hawaonekani
Asante kwa huruma yako , japo mimi sihitaji kulipwa kwa ajili ya ukombozi wa Nchi , bali nitachangia hata pesa taslimu ili kuleta ukombozi kupitia Chadema , chama pekee cha upinzani TanzaniaErythrocyte nakuonea huruma.
CDM wapunguze ukabila ,, haiwezekan anayeripot taarifa za chama ni Erythrocyte mtu kutoka Mwakareli lakini anayelipwa mshahara wa usemaji wa Chama ni Tumaini Makene kutoka Moshi.
Atakuwa katibu wa kwanza wa wazee kuisaidia ccm tangu chama hicho kiundwe , alizoea kutukana wazee na akapelekwa kwa wazee , ngoja tuoneSuper sub Salum Hapi
Unakuwa unachukua wale wa mbele kwa karibu, wale waliobaki inakuwa vichwa vinaonekana tu mtu anaweza kudhani ni wengi mpaka kamera imeshindwa kuwanasa woteUkipiga picha umechuchumaa figure zinaongezekaยฟ
Hili nyomi linashinda hili la Mbowe pichani katika mkutano wake uliosusiwa na wana Hai?nyomi lake si michezo,
mnyang'anyi kaamua kwenda kupata ahuweni mbulu sio, baada ya uteuzi uliomchefua sana juzi dah ๐
Hizo ni hatua za kuwafuta wapora fomu kwa wagombea pendwa kwa wananchiviongozi watarajiwa๐Chama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu...
Chiembe huo ndio uongo muutumiao hapo majani kijani๐Unakuwa unachukua wale wa mbele kwa karibu, wale waliobaki inakuwa vichwa vinaonekana tu mtu anaweza kudhani ni wengi mpaka kamera imeshindwa kuwanasa wote
Ulijuaje wewe!Mpiga picha anajaribu kuchuchumaa ili ionekane watu ni wengi mpaka mwisho hawaonekani
Alikunyang'anya mke?nyomi lake si michezo,
mnyang'anyi kaamua kwenda kupata ahuweni mbulu sio, baada ya uteuzi uliomchefua sana juzi dah ๐
alinyang'anya malori ya wenyewe na kupiga watu bomba sana tu ๐Alikunyang'anya mke?
Kama naye ubongo kipara๐๐๐Ulijuaje wewe!
Ndio ameanza safari huyu mbulu mara meru nairobi canada anaanza kuposti vifungu vya biblia!Chama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu .
Mwenyekiti wa Kanda hiyo , Nabii wa Mungu Godbless Lema ameongoza semina kali ya kumkataa Shetani na mambo yake yote .
Hali ilikuwa hivi
View attachment 2954777View attachment 2954778View attachment 2954827View attachment 2954829
Usivute bhangi peke yako!Kama naye ubongo kipara๐๐๐
Sasa hivi sio Makene tena. Ni John MremaErythrocyte nakuonea huruma.
CDM wapunguze ukabila ,, haiwezekan anayeripot taarifa za chama ni Erythrocyte mtu kutoka Mwakareli lakini anayelipwa mshahara wa usemaji wa Chama ni Tumaini Makene kutoka Moshi.