Uchaguzi 2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

Wale hawana namna wakileta domodomo wanatawanyishwa tu na bomu la machozi utawaona hao uvunguni,wala urojo hawana huo ubavu
Kitakachomcost Hana asili ya Zanzibar I, mzee mwinyi baba yake Ni mtu wa bara Tena kutoka pwani, Sasa wazanzibar hawawezi kukubali kuwa na raisi mtanganyika
 
Sawa
 
Eti kuna majitu yanampongeza..
Pumbav kweli
 
Atakayopewa ndio shughuli nyingine na sio Uraisi tena.
Mbarawa Hana shida Hana tamaa sio mroho wa madaraka umri unaruhusu hawezi kosa post popote iwe Zanzibar , Tanzania bara au serikali ya muungano serikalini au bungeni au baraza la wawakilishi au post kubwa mashirika ya umma zanzibar na Tanzania .Ni rafiki wa kila mtu bara na Zanzibar.Usitarajie kuwa atakosa post sahau.Post kubwa zinamsubiri
 
Limekimbia Twitter siku hizi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna watu hasa chadema hadi kina Lema waliweka kambi kwake kula matango pori aliyokuwa anawalisha.

Mtu kama salary slip alikuwa anabeba tango moja anakuja kuanzishia thread humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…