fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Embu onesha udhaifu wakeUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu onesha udhaifu wakeUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Mkuu nitapigwa banUmesema ana Id nyingine, ni ipi sasa?
Niliwahi kumExpose mtu mmoja nikaambulia ban ya wiki mojaMkuu nitapigwa ban
Labda alifunga kitambaa cha cdmMgombea urais kwa tiketi CCM, Dkt. Magufuli yuko mkoani Manyara akiendelea na mkutano wa kampeni
Alipokuwa Minjingu akielekea Babati amekataa kuingilia Uhuru wa mahakama baada ya mama mmoja aliyedai kudhurumiwa mali zake ambaye uamuzi ulitolewa mahakamani kuomba kusaidiwa, aidha amemshauri aende kukata rufaa ili kupta haki yake
UmesandaOnly Magufuli
Mamilioni ya watanzania tunamchagua LissuKesho kutwa kura zote kwa Lisu..... Jamaa kauwa sekta binafsi kabisa siwezi kumpa kura yangu
Labda kama ni kushinda njaaUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Labda kama ni kushinda njaaUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Ya lumumba kama weweMagufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Mwisho wake kesho kutwaOnly Magufuli
magu mbeba maovuMagufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Sio ya watanzania mbeba ndoo y maono yako kmmkMagufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Ume sahau kaudhoofisha babu yako, lakini kafeliUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
magu mbeba maovu
Umesanda
Ya kujenga barabara kutwa kucha, Kama Tanzania nzima ina Wizara 1Magufuli ni mbeba maono ya Watanzania
Ya kujenga barabara kutwa kucha, Kama Tanzania nzima ina Wizara 1
Mwisho wake kesho kutwa