Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Acha ujinga BrotherChama bado kipo na kinakuja na mambo mapya chini ya utendaji wa Katibu Mkuu.
Kama Mwenyekiti ni Lipumba narudia tena hamna chama humo - hana jipyaChama bado kipo na kinakuja na mambo mapya chini ya utendaji wa Katibu Mkuu.
neno furaha wameliongeza, awali halikuwepo, ilikuwa ni HAKI SAWA KWA WOTE, ASIYEJUA HAKI AELIMISHWECuf wapo...slogan yao Haki Sawa furaha kwa wote.