Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Labda kwa bao la mkono tu, ni kama wagombea wengine wa ccm popote, bila bao la mkono na kuenguana kinyemela hawawezi kupita.Huyu jamaa sijui atapitaje sioni njia ya yeye kupita kabisa
picha naweka inagoma
WATU WAMESHAONA KUWA WATANZANIA WAJINGA, WAPUMBAVU, UKIWA NA VISENTI VYA KUWAPA MIHOGO KIDOGO, WATAGEUKA NYUMA,,,, DHANA MOJA MBAYA LAKINI YA KWELI MUDA MWINGI!Ukisikia kuvamia fani ndiko huku, wewe umekuwa fundi Bomba miaka nenda rudi, ghafla bin vuu uzeeni ati unataka kuwa fundi umeme....wapi na wapi.
Kupita wapi?! Mbona anapita njia hizo hizo kila siku, ilitaka apite wapi?!Huyu jamaa sijui atapitaje sioni njia ya yeye kupita kabisa
picha naweka inagoma
kunywa majiHatapita kwa sababu unaweka picha zinagoma!! Vichwa vyenu nyie chadema vilitolewa ubongo mkawekewa shahawa za fisi.
hamna videoVideo sioni weka upya
hahahahaKwa mwandiko wako tu unaonekana wazaz wako wamekutana uwanja wa fisi Mazense
[emoji38][emoji38][emoji38]Ukisikia kuvamia fani ndiko huku, wewe umekuwa fundi Bomba miaka nenda rudi, ghafla bin vuu uzeeni ati unataka kuwa fundi umeme....wapi na wapi.
Hii inaitwa wajue wapiga kura wako....Kuna vitu lazima uelewe, Vunjo inataka sayansi kufanya kampeni, Watu wa Vunjo hakuna mahali utawakusanya kwa mamia waache shuhuli zao,
Toka jana kuna mchezo ukipost picha za mikutano ya wapinzani humu jf zinakataa au hazifunguki. Nadhani kwa kuwa wameona itawadhalilisha ccm nao wameamua isifunguke au usiweze kuipost.Huyu jamaa sijui atapitaje sioni njia ya yeye kupita kabisa
picha naweka inagoma
huyu hapaView attachment 1556375View attachment 1556376View attachment 1556377
ndiyo mara ya kwanza namuona huku vunjo sijui anapitaga wapi.Kupita wapi?! Mbona anapita njia hizo hizo kila siku, ilitaka apite wapi?!
Atapata kwa wizi wa kura mipango yote ipo tayari.Aspopita nipigwe ban ya mwaka hapa
kupita kwake ni swala lililowazi ila hana muitikio kabisaAspopita nipigwe ban ya mwaka hapa