Elections 2010 Mkutano wa lala salama wa CHADEMA uko Igunga wafunika


Yani Kamanda humu ndani kuna wanaJF wame2mwa na mapapa kuchafua hali ya hewa lakini hakika watashangaa na roho zao mbaya hawa mapapa sumu.

Mi nimesikitika sana na baada ya Regina Mwoleka ku2pa news ya huko hakika nikajua ukombozi hauko mbali hapo Igunga na bila shaka jogoo awike asiwike patakucha tu! Peopleeess Power!
 
Hongera wana igunga sasa fanyeni kweli kufanya mabadiliko.
 
......kwani kama sio upeo wangu mdogo basi ni kweli usiopingika kuishabikia CCM na hata kuipigia CCM kwangu nisawa na laana ya kufanya mapenzi na mama yangu mzazi......
Mkuu kiapo chako ni kikali sana, hivi unajua kufanya mapenzi na mama yako jinsi ilivyo ngumu ndiyo umefananisha na kuishabikia CCM!!!!! Kiukweli hata kama siipendi CCM lakini hili ni too much!
 


Mkuu nimecheki hii mikutano ya mwisho,ule wa CDM na CCM, Kimsingi mkutano wa CDM ulifana katika yote,watu waliofika kusikiliza na uchangamfu wa viongozi wetu.

Upande wa CCM nimeona kama kulikuwa kuna kupoa fulani kwa watu waliofika kusikiliza na zaidi wa viongozi.

Mkapa alikuwa anahutubia kama yupo kwenye msiba vile. Ngoja tuone kesho itakuwaje.Otherwise nakitakia chama changu cha CDM ushindi wa kishindo.
 
Ni kweli kabisa vijana wengi hawajiandikisha, na hii inaweza kuwa nzuri kwa ccm!

kakudanganya nani? Kudhihirisha unadanganya,leo vijana wa Igunga walikuwa wakipunga hewani kadi zao za kupigia kura kila walipotajiwa jina la kashindye.
 
Nadhani jeyikeyi akiiona hii picha chakula cha usiku hawezi kula
Na jana kwenye hotuba yake aliongea kwa jazba huku akipiga mikwara mizito ili watu waogope kupiga kura....ila alionyesha waziwaz kwamba anaogopa
 
nasubiri kuiona sura ya ndugai bungeni wakati kashindye akiapishwa! teh teh teh teh.
 
Sidhani kama nyie viwavi wa cdm mnafikiria vizuri hivi umati ndio kupiga kura acheni ushamba

Jamaa unajiona una point,sema tu umepanic.Hata kama hawatapiga kura elewa 2015 lazima wapige kura.Mimi sijawahi kupiga kura kwa kupuuzia lakini kwa style ya CDM 2015 lazima nipige kura.
 
Jamani hebu pimeni na vyama vingine, then tusubirie matokeo maana tukizidi kuongea kishabiki tusije kimbia jukwaa kesho.
 
Hakika yankwenda kutimia kama tulivyosubiri. Hiki ni kilio cha magamba tena.

Licha ya kuiba kwa miaka 50 bado wanatamani waendelee kutwala WATANZANIA WASOMI, wanaoishi maisha magumu. Hali ni tofauti na hili linanifanya nikumbuke msemo usema' NAITAMANI KESHO' NISHUHUDIE UKOMBOZI WA TANZANIA MPYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…