Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,457
- 874
Ingine hiyo
View attachment 38187
Ndoto za mchana hizi
Zako za usiku ziko wapi?Ndoto za mchana hizi
Hakika yankwenda kutimia kama tulivyosubiri...Hiki ni kilio cha magamba tena...Licha ya kuiba kwa miaka 50 bado wanatamani waendelee kutwala WATANZANIA WASOMI...wanaoishi maisha magumu...Hali ni tofauti na hili linanifanya nikumbuke msemo usema' NAITAMANI KESHO' NISHUHUDIE UKOMBOZI WA TANZANIA MPYA
Hakika yankwenda kutimia kama tulivyosubiri...Hiki ni kilio cha magamba tena...Licha ya kuiba kwa miaka 50 bado wanatamani waendelee kutwala WATANZANIA WASOMI...wanaoishi maisha magumu...Hali ni tofauti na hili linanifanya nikumbuke msemo usema' NAITAMANI KESHO' NISHUHUDIE UKOMBOZI WA TANZANIA MPYA
Jamani hebu pimeni na vyama vingine,then tusubirie matokeo maana
tukizidi kuongea kishabiki tusije kimbia jukwaa kesho.
View attachment 38186
Sidhani kama nyie viwavi wa cdm mnafikiria vizuri hivi umati ndio kupiga kura acheni ushamba
Sasa ni wakati watanzania wakumwomba mungu ili kura za watu watakao piga kura zihesabiwe kwa usahihi bila kuibiwa wala watu kurubuniwa juu ya nani wampigie kura.mungu onyesha njia tunaamini sauti ya wengi ni sauti yako mungu wetu ulie umba mbingu na nchi uwaonyeshe wanaigunga kiongozi atakae wafaa wao na watanzania kwa ujumla epusha vurugu na machafuko tunahitaji amani ya kweli itokayo kwako uwatie hofu wanao nia mabaya juu ya uchaguzi wa kesho mungu tazama kilio cha watanzania mungu ibariki tanzania mungu ibariki igunga
KESHO NI KESHO CHADEMA IINACHUKUA IGUNGA. CCM HAMNA CHENU NAOMBA IKIFIKA ASUBUHI MUAME IGUNGA. WANAIGUNGA TUMAINI LENU NI CHADEMA NIMESHUHUDIA ....HAKUNA LISILOWEZEKANA UMMA WA IGUNGA IKIAMUA HATA MCHWA ATAKUWA MBUNGE WAO LAKINI WAMEAMUA CHADEMA NDIO CHAGUA LAO NA KASHINDYE NDIO BABA YAO NA JUA MAFISADI AKA CCM GAMBA LA KUNGUNI MMEPANGA KUCHAKACHUA
Ndoto za mchana hizi
Hapa mtu kalamba kitu hilikuitundika benderaHII KIBOKO SOMA PICHA