Elections 2010 Mkutano wa lala salama wa CHADEMA uko Igunga wafunika

Elections 2010 Mkutano wa lala salama wa CHADEMA uko Igunga wafunika

Hakika yankwenda kutimia kama tulivyosubiri...Hiki ni kilio cha magamba tena. Licha ya kuiba kwa miaka 50 bado wanatamani waendelee kutwala WATANZANIA WASOMI, wanaoishi maisha magumu.

Hali ni tofauti na hili linanifanya nikumbuke msemo usema' NAITAMANI KESHO' NISHUHUDIE UKOMBOZI WA TANZANIA MPYA

MUNGU IBARIKI CHADEMA, BARIKI NA WAPIGA KURA WAKE NA WATANZANIA WOTE KWA UJUMLA
 
Hakika yankwenda kutimia kama tulivyosubiri...Hiki ni kilio cha magamba tena...Licha ya kuiba kwa miaka 50 bado wanatamani waendelee kutwala WATANZANIA WASOMI...wanaoishi maisha magumu...Hali ni tofauti na hili linanifanya nikumbuke msemo usema' NAITAMANI KESHO' NISHUHUDIE UKOMBOZI WA TANZANIA MPYA

Mheshimiwa maneno mengine ni matusi katika makabira mengine.
 
Hakika yankwenda kutimia kama tulivyosubiri...Hiki ni kilio cha magamba tena...Licha ya kuiba kwa miaka 50 bado wanatamani waendelee kutwala WATANZANIA WASOMI...wanaoishi maisha magumu...Hali ni tofauti na hili linanifanya nikumbuke msemo usema' NAITAMANI KESHO' NISHUHUDIE UKOMBOZI WA TANZANIA MPYA

freedom is coming tomorrow
 
Leo nimepita hapo Igunga,yani bendera za CDM ni nyingi sana!!! ki msingi wasukuma wamebadilika sana,sisi tunaokaa huko lake zone ndo tunayaona mabadiliko makubwa ya kifkra!!!! nafikiri kitaeleweka tu!!
 
Tuwaombee waliopo mstari wa mbele kwa niaba yetu
 
Sasa ni wakati watanzania wakumwomba mungu ili kura za watu watakao piga kura zihesabiwe kwa usahihi bila kuibiwa wala watu kurubuniwa juu ya nani wampigie kura.mungu onyesha njia tunaamini sauti ya wengi ni sauti yako mungu wetu ulie umba mbingu na nchi uwaonyeshe wanaigunga kiongozi atakae wafaa wao na watanzania kwa ujumla epusha vurugu na machafuko tunahitaji amani ya kweli itokayo kwako uwatie hofu wanao nia mabaya juu ya uchaguzi wa kesho mungu tazama kilio cha watanzania mungu ibariki tanzania mungu ibariki igunga

Aaaamen!!
 
attachment.php

attachment.php

attachment.php



KESHO NI KESHO CHADEMA IINACHUKUA IGUNGA. CCM HAMNA CHENU NAOMBA IKIFIKA ASUBUHI MUAME IGUNGA. WANAIGUNGA TUMAINI LENU NI CHADEMA NIMESHUHUDIA ....HAKUNA LISILOWEZEKANA UMMA WA IGUNGA IKIAMUA HATA MCHWA ATAKUWA MBUNGE WAO LAKINI WAMEAMUA CHADEMA NDIO CHAGUA LAO NA KASHINDYE NDIO BABA YAO NA JUA MAFISADI AKA CCM GAMBA LA KUNGUNI MMEPANGA KUCHAKACHUA
 
Back
Top Bottom