Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,508
Huoni kichwani mjini shule.Hapa mtu kalamba kitu hilikuitundika bendera
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni kichwani mjini shule.Hapa mtu kalamba kitu hilikuitundika bendera
![]()
Ni kweli CCM wanaweza kuwa wanaiba kura lakini pia nafikiri mashabiki wetu ni watu waliokata tamaa, vijana wa vijiweni ambao wengi wao hawajajiandiksha.
safi sana mutoto wa mjini, fedha unachukua, bendera ya kijani unaiweka mchagoni na kura yako unadumbukiza kwenye sanduku la CHADEMAHuoni kichwani mjini shule.
Ushindi ni wachadema mapema, View attachment 38170
picha hii ya leo
Chadema kiboko kumbe imewalambisha CCM mawakala feki magalasa kwa uroho wao wakawahonga sijui wamekula ngapi ngapi dah ndio maana January alikuwa anasisitiza mawakala hawawezi kubadilishwa na lazima watoke Igunga poleni sana watani.Nimefurahishwa sana na intelijensia yenu CDM. Nimecheka sana kusikia kuwa ccm wamelishwa kasa nyingi na kuingia mitego yenu. Miongoni mwake ni huu wa kuwahonga mawakala feki 90 wa CHADEMA na kasha nyinyi kuleta 400 mliokuwa mmewaandaa vema toka awali wakitokea nje ya mkoa. Ccm walikwishapumua na kujua kazi imekwisha. Mpango huu umetumia muda na rasilimali nyingi kuuandaa na kuanza kuutekeleza. Ikumbukwe, mpango huu una-muunganisho na uingizwaji wa boksi na karatasi za kura ambazo tayari zilikuwa kwa Mkuu wa Wilaya. Hivyo kuuvuluga kwenu kumewavunja nguvu sana ccm maana hawategemei ushindi kwa njia ya kura bali mbinu ovu. Nimejulishwa mpalanganyiko ndani ya timu inayoongozwa na Januari akilalamika kuvuja kwa kila mikakati hata kabla ya kutoka nje ya vikao. Imefikia mahala wanahisi INVISIBLE ni mjumbe katika vikao vyao!
Naungana na wewe ktk maombi hayo.MUNGU ibariki chadema kule Igunga
eeee Mungu unawasikia wanaoniotea mabaya, naomba uwe kwangu ngao na kigao ili wafedheheke wote wanaoiotea mabaya CDM,
NI WAKATI ULIOUPANGA WEWE KWA MABADILIKO YA TAIFA LETU NAOMBA UTUSAIDIE ILI JINA LAKO LITUKUZWE CDM ITAKAPOSHINDA NGUVU ZOTE ZA MAFISADI NA HILA ZA CCM. Hakika tutakutolea dhabihu za kushukuru kwa matendo yako makuu.
Tunafahamu kuwa tunashinda na zaidi ya kushinda katika wewe uliyetupenda.
Chadema wakishinda igunga nakunywa tindikali
Ninayo H2S04 98%, nitafute kesho jioni.