Mkutano wa REDET: Zanzibar Tuitakayo, Ujenzi wa Uvumilivu wa Kisiasa Zanzibar

Mkutano wa REDET: Zanzibar Tuitakayo, Ujenzi wa Uvumilivu wa Kisiasa Zanzibar

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Asalaam Aleykum,
Niko ndani ya ukumbi wa Hoteli ya Bwawani hapa Zazibar, nitakuletea yanajiri kwenye hii siku ya kwanza ya Mkutano wa Redet, unaofanyika Zanzibar kwa mara ya kwanza. Unatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Abeid Amani Karume.

Kinachoendelea sasa, ni kusubiriwa tuu kwa mgeni rasmi aje, mkutano uanze.

Tayari ukumbi umeishafurika karibu vichwa vyote vinavyomater kwenye siasa za Zanzibar, Cuf na line-up yao kubwa ikiongozwa na Mwenyekiti Lipumba, Maalim Seif na Mohamed Rashid, wabunge na wawakilishiu wa CCM na CUF wamo ndani ya nyumba hadi Juma Duni japo bado hajaapishwa.

Balozi mbalimbali pia zimewakilishwa humu ndani, Ubalozi wa Uingereza umewakilishwa na Mshauri wake wa Masuala ya Siasa, nawaona wawakilishi wa Jumuiya ya Ulaya, Ubalozi wa Sweden na balozi wa Norway ambaye amekuja mwenyewe sio kutuma mwakilishi.

Haya ndio majumuisho ya mkutano huo
  1. [FONT=Arial, sans-serif]Washi[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]riki wa Mkutano wa Hali ya Siasa Zanzibar wanatoa pongezi kwa (REDET) na UDSM kuandaa mkutano uliotoa fursa kwa Wanzanzibari kujadili na kutafakari hali ya siasa na mustakabali wa Zanzibar.[/FONT]
  2. [FONT=Arial, sans-serif]Washiriki wa m[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]kutano wamemshukuru Rais Karume kuufungua na kumpongeza kwa hotuba ya ujenzi wa uvumilivu wa kisiasa Zanzibar [/FONT]
  3. [FONT=Arial, sans-serif]Washiriki wa mkutano, [/FONT][FONT=Arial, sans-serif]wamewapongeza Rais Karume na Maalimu kwa kuweka kando tofauti zao kwa maslahi ya Zanzibari kwa kufungua ukurasa mpya katika siasa za Zanzibar.[/FONT]
  4. [FONT=Arial, sans-serif]Mkutano unatambua umuhimu wa historia katika jamii maana tusipojua tulikotoka hatuwezi kufahamu v[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]izuri tulipo na hata tuendako, hivyo wametoa wito kwa Wazanzibari kuepukane kutumia jinamizi la historia kuwagawa Wazanzibari na kuainisha mazuri ya historia ya Zanzibar ili kuyaenzi na Wazanzibari tukatae kuwa watumwa wa historia.[/FONT]
  5. [FONT=Arial, sans-serif]Chaguzi huru na za haki ni kigezo m[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]uhimu cha demokrasia na utawala bora katika kuwapata viongozi wanaotokana na ridhaa ya wananchi. Washiriki wanapendekeza mambo yafuatayo:-[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]mfumo mpya wa ucha[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]guzi badala ya mfumo wa sasa wa mshindi kubeba kila kitu yaani “the winner takes all”, watumie Mfumo wa uwiano yaani “Proportional Representation” -[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]Kupitia upya sheria za uchaguzi ili Wazanzibar wote wenye sifa za kushiriki uchaguzi , washiriki na kuanzia kwa kutolewe elimu ya uraia. -[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]Daftari la kudumu la wapiga[/FONT][FONT=Arial, sans-serif] kura lipitiwe upya ili kuondoa kasoro zilizopo nakujenga imani ya wananchi kwa taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuendesha chaguzi.[/FONT]
  6. [FONT=Arial, sans-serif]Mkutano unashauri[/FONT][FONT=Arial, sans-serif] kutafakari sababu za kutotekelezeka kwa muafaka wa I (1999); muafaka wa II (2001) na mazungumzo ya muafaka wa III yaliyovunjika mwaka 2008. -[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]Mchakato wa [/FONT][FONT=Arial, sans-serif]sasa wa maridhiano uawashirikisha wananchi wote [/FONT]
  7. [FONT=Arial, sans-serif]Washiriki wanatambua umuhimu wa vyombo vya dola na mchango wa vyombo vya habari kwa usalama na amani ya nchi pamoja na utoaji wa haki kwa maendeleo ya nchi na watu wake. Hata hivyo:[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]Vyombo hivi vifanye kazi kwa kuzingatia weledi, maadili na maslahi ya wananchi wote badala ya makundi fulani [/FONT]
  8. [FONT=Arial, sans-serif]Mkutano unatambua umuhimu na nafasi ya serikali za mseto katika kutatua matatizo na migogoro ya kisiasa. Serikali ya umoja wa kitaifa ni muhimu kwa kuzingatia hali ya siasa ya Zanzibar. Hata hivyo:[/FONT]
  9. [FONT=Arial, sans-serif]Tahadhari na umakini mkubwa unahitajika katika kufikia azma hiyo[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]Fursa iliyojitokeza November 5, 2009 kutokana na maridhiano ba[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]ina ya Rais Karume na Maalim Seif inatoa mwanya wa kufikia azma hiyo. Ni vizuri mchakato wa kufikia hali hiyo ukaanza mara moja.[/FONT]
  10. [FONT=Arial, sans-serif]Mwis[/FONT][FONT=Arial, sans-serif]ho Mkutano unawashauri wananchi wote wa Tanzania kuwa Jukumu la kujenga Zanzibar mpya yenye amani, utulivu, maridhiano na maendeleo kwa wote. Watanzania wote na Wazanzibari wakiwemo kama sehemu ya Tanzania.[/FONT]
 
Mgeni Rasmi, Rais Karume kaingia kimya kimya kwa kutokea nyuma ya pazia la mbele, kama mwizi vile, bila hata tangazo lolote kuwa mgeni rasmi anaingia! Karume ile kuingia tuu kaenda kukaa mbele, watu wanastuka na kutaka kusimama, akaashiria wasijisumbue.

Sasa Dr. Bana anatoa maelezo mafupi kuhusu Zanzibar, kaanza kwa kuzisifu serikali zote mbili kuwa ni serikali sikivu.

Jumla ya mada 10 zitawasilishwa.
 
Asalaam Aleykum,
Niko ndani ya ukumbi wa Hoteli ya Bwawani hapa Zazibar, nitakuletea yanajiri kwenye hii siku ya kwanza ya Mkutano wa Redet, unaofanyika Zanzibar kwa mara ya kwanza. Unatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Abeid Amani Karume.

Kinachoendelea sasa, ni kusubiriwa tuu kwa mgeni rasmi aje, mkutano uanze.

Tayari ukumbi umeishafurika karibu vichwa vyote vinavyomater kwenye siasa za Zanzibar, Cuf na line-up yao kubwa ikiongozwa na Mwenyekiti Lipumba, nilimuona Maalim Seif na Mohamed Rashid kwa nje, ndani sijawaona, ila wabunge na wawakilishiu wa CCM na CUF wamo ndani ya nyumba hadi Juma Duni japo bado hajaapishwa.

Balozi mbalimbali pia zimewakilishwa humu ndani, Ubalozi wa Uingereza umewakilishwa na Mshauri wake wa Masuala ya Siasa, nawaona wawakilishi wa Jumuiya ya Ulaya, Ubalozi wa Sweden na balozi wa Norway ambaye amekuja mwenyewe sio kutuma mwakilishi.

Wakuu wa taasisi mbalimbali wamo ndani ya nyumba akiwemo spika wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Amer Kificho, wakuu wa ZEK, Zan ID na karibu vingunge wote wa Zanzibar.

Endelea nami....
ahsante ripota maalumu
 
Mgeni Rasmi, Rais Karume kaingia kimya kimya kwa kutokea nyuma ya pazia la mbele, kama mwizi vile, bila hata tangazo lolote kuwa mgeni rasmi anaingia! Karume ile kuingia tuu kaenda kukaa mbele, watu wanastuka na kutaka kusimama, akaashiria wasijisumbue.

Sasa Dr. Bana anatoa maelezo mafupi kuhusu Zanzibar, kaanza kwa kuzisifu serikali zote mbili kuwa ni serikali sikivu.

Jumla ya mada 10 zitawasilishwa.
shortlist hizi mada tuzidaigest
 
Sasa Makamu Mkuu wa UDSM, Prof. Rekaza Mukandara, ndio anazungumza kumkaribisha mgeni rasmi.
 
Mgeni Rasmi Dr. Amani Abeid Karume ndio anazungumza. Amesisitiza majadiliano yawe ni kwa nia njema kwa lengo la kujenga Zanzibar tuitakayo yenye ustawi wa kiuchumi, yenye utulivu na amani.
 
Mgeni Rasmi Dr. Amani Abeid Karume ndio anazungumza. Amesisitiza majadiliano yawe ni kwa nia njema kwa lengo la kujenga Zanzibar tuitakayo yenye ustawi wa kiuchumi, yenye utulivu na amani.
anaogopa!....
 
Mgeni Rasmi Dr. Amani Abeid Karume ...Amesisitiza majadiliano yawe ni kwa nia njema kwa lengo la kujenga Zanzibar tuitakayo yenye ustawi wa kiuchumi, yenye utulivu na amani.

Amepata ajenda kabla?
 
Karume amezungumzia mazungumzo yake na Maalim, kuwa lengo ni moja tuu, kusahau yaliyopita na kuganga yajayo.

Amesema Wanzanzibari wameamua wenyewe, kujenga demokrasia mpya ya Kizanzibari ambayo mshindi atatawala lakini sasa na aliyeshinda atasikilizwa, na sio ule mtindo wa @the winner takes it all.the looser standing small'. Zanzibar ya sasa ni kufuata majority but also listerning to the minority.

Sasa Karume anashuka na nondo za kufa mtu za historia ya Zanzibar.
 
Karume anamalizia kwa kwa kukumbushia umuhimu wa kukubali kutokukubaliana, yeye amejiita yeye ndie Galileo Galilei wa sisa za Zanzibar, amemalizia kwa msisitizo wa mvumilivu hula mbivu'...

...mkutano umefunguliwa...

Makofi.....
 
Karume amezungumzia mazungumzo yake na Maalim, kuwa lengo ni moja tuu, kusahau yaliyopita na kuganga yajayo.

Amesema Wanzanzibari wameamua wenyewe, kujenga demokrasia mpya ya Kizanzibari ambayo mshindi atatawala lakini sasa na aliyeshinda atasikilizwa, na sio ule mtindo wa @the winner takes it all.the looser standing small'. Zanzibar ya sasa ni kufuata majority but also listerning to the minority.

Sasa Karume anashuka na nondo za kufa mtu za historia ya Zanzibar.
hapa wazanzibari wanaanza kuamka!WAMESHTUKA
 
Karume anamalizia kwa kwa kukumbushia umuhimu wa kukubali kutokukubaliana, yeye amejiita yeye ndie Galileo Galilei wa siasa za Zanzibar, amemalizia kwa msisitizo wa mvumilivu hula mbivu'...

...mkutano umefunguliwa...

Makofi.....
dah!hahahaha!
 
Prof. Samwel Mushi wa UDSM anashuka na Vote of Thanks. Sasa ni picha za pamoja tea break.
 
Karume amezungumzia mazungumzo yake na Maalim, kuwa lengo ni moja tuu, kusahau yaliyopita na kuganga yajayo.

Amesema Wanzanzibari wameamua wenyewe, kujenga demokrasia mpya ya Kizanzibari ambayo mshindi atatawala lakini sasa na aliyeshinda atasikilizwa, na sio ule mtindo wa @the winner takes it all.the looser standing small'. Zanzibar ya sasa ni kufuata majority but also listerning to the minority.

Sasa Karume anashuka na nondo za kufa mtu za historia ya Zanzibar.

Duh! Wao wameamua kuja na demokrasia mpya. Ingependeza kama wangetumia demokrasia upya ya Afrika, unapora matakwa ya wapiga kura; kisha unaunda siri-kali ya msetoooooooooo..
 
Kama kawaida ya shughuli yoyote ya Mswahili lazima na kauswahili japo kadogo kawepo. Wajumbe wametolewa nje kwa picha za pamoja. Mara wanasiasa wakaitwa ndani eti kikao cha faragha na Karume bila hata kuwataka radhi. Jamani kundi lote la wajumbe likaachwa solemba hapo nje likisubiri picha bila kuambiwa kinacho endelea mpaka mvua ikawakuta na kuwasambaratisha. Baadae Karume akapigia picha ndani na viongozi wa siasa na mabalozi tuu. Wengine hata kuambiwa sorry no!.
 
Tea break is over.
Nondo za ukweli sasa ndio zinaanza kushuka, yaani paper presentation.
Mada ni kama zifuatazo
1. Historia ya Zanzibar na Utamaduni wa Uvumilivu wa Kisiasa
by Jaji Mkuu, Agustino Ramadhani.
2. Uzanzibari Ukaazi, Msingi wake kisheria na Kikatiba-Mtazamo wa Ndani
by Pandu Hassan, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
3. Uzanzibari Ukaazi, Msingi wake kisheria na Kikatiba-Mtazamo wa Nje
by Makame Mahmod Khamis, ZLSC.
4. Tathmini ya Chaguzi za Zanzibar by Prof. G. Mpangala.
5. Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 na Ujenzi wa Demokrasia, Mkakati wa ZEC
by Salum Kasim Ally, Mkurugenzi wa Uchaguzi Zanzibar.
6. Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2010 na Ujenzi wa Demokrasia, Mtazamo wa Azaki
by Hassan Khamis Juma, ANGOZA.
7. Nafasi ya Asasi za Kiraia katika kujenga Maridhiano ya Kitaifa Zanzibar:
Uzoefu wa REDET By Ali Haji Vuai. Mratibu REDET, ZnZ.
8. Yanayowezekana katika Muafaka Zanzibar by Prof. Daudi Mukangara.
9. Dhana ya Muafaka: Mtazamo wa CCM by Juma Ramadhani Feruzi, Naibu Katibu
Mkuu, CCM Zanzibar.
10. Dhana ya Muafaka: Mtazamo wa CUF by Ismail Jussa, Msaidizi wa Katibu Mkuu
CUF.
11. Uwezekano wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar: Wakati wake na Muundo
wake by Prof. Samweli Mushi.

Baada ya hapo ni majadiliano ya Mustakabali Zanzibar, na Zainzibar Tuitakayo
 
Back
Top Bottom